Nimepata mpenzi Jf

Nimepata mpenzi Jf

Ila kuna wanaume hawapo serious kabisa.

Napenda kufuatilia dates saana hii ilinivunja mbavu.. kama una mb pita uisikilize.



Cc Sky Eclat Sakayo
Heaven Sent


[emoji28]hicho kicheko cha huyu kaka sikiwezi
Mbona kama kaka anawahi kuclose deal anataka mbunye huyu he is not even bothered kuwa step father wa watoto watatu extra [emoji1381]‍♀️
 
Asante

Kipengele cha pili cha ushauri, naendelea kukitafakari

on a serious note kabisa kama Elly alivyosema nakazia poteza contacts zote za wana jf usiseme chochote kwa mtu yoyote sijui ana gari zuri anaishi pazuri atanyakuliwa usiamini🤣
Na yeye pia I hope ni mtu anajielewa hana magroup huko watsap ya watu wa jf
Tembeeni safari yenu wawili kuna wakati mgumu mtapitia usithubutu kumsimulia mtu wa humu[emoji4]
 
[emoji28]hicho kicheko cha huyu kaka sikiwezi
Mbona kama kaka anawahi kuclose deal anataka mbunye huyu he is not even bothered kuwa step father wa watoto watatu extra [emoji1381]‍[emoji3601]
Hayupo serious kabisa..... nadhani baada ya kuambiwa I have three kids akaona wapo Dunia tofauti.

Zipo nyingi kwenye hiyo site pita ujionee.
 
Back
Top Bottom