Nimepata mpenzi Jf

Nimepata mpenzi Jf

Asante

Kipengele cha pili cha ushauri, naendelea kukitafakari

on a serious note kabisa kama Elly alivyosema nakazia poteza contacts zote za wana jf usiseme chochote kwa mtu yoyote sijui ana gari zuri anaishi pazuri atanyakuliwa usiamini🤣
Na yeye pia I hope ni mtu anajielewa hana magroup huko watsap ya watu wa jf
Tembeeni safari yenu wawili kuna wakati mgumu mtapitia usithubutu kumsimulia mtu wa humu
 
hicho kicheko cha huyu kaka sikiwezi
Mbona kama kaka anawahi kuclose deal anataka mbunye huyu he is not even bothered kuwa step father wa watoto watatu extra
Hayupo serious kabisa..... nadhani baada ya kuambiwa I have three kids akaona wapo Dunia tofauti.

Zipo nyingi kwenye hiyo site pita ujionee.
 
Back
Top Bottom