Nimepata mpenzi Jf

Nimepata mpenzi Jf

Aisee siku hizi hakuna mwema, uwe baharia ama injinia, uwe JF ama FB, uwe cutie ama HB, uwe dhahabu ama mkaa, wote matapeli tu. Mapenzi yanavyoanza lazima yawe matamu, lakini mwisho wake sasa ndo kiboko tena cha majini.
Mmmhhh
 
 
hhhhhh mkuu kwenye kujibu uko sawa mhurumie jamaa. Jan ni mbali sana kuna kufa ujue.
,mkuu wewe ile nahau ya haraka haraka haina baraka ilikupita kushotoo,Jan si mbali lakini only 3 months to go, afu nimeambiwa hii ni I'd yake nyingine
 
Back
Top Bottom