Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
OooohhNamtaniaa tu dada
Ila mwambie wakipishana kidogo watulie wayamalize...
Mabaharia wapo humu kusubiriaa betriii ichomolewe
OooohhNamtaniaa tu dada
vioja vinavyokutana navyo pm sijui ni mtu mmoja ananichezea na id mbali mbaliTunamaanisha mdada na hatuna utani kwenye hili hususani mimi sipendi ujinga ujinga kabisa. Na nakemea vikali wanaume wote wa humu wanaotania tania wanawake warembo kama wewe.
Nitakaribia dear.
Haya usijali my dear.Nitakualika
Hewaala.Hahahahahaha
Ujue wewe chizi aki, acha nikupende tuu
Kama kweli vileeeTunamaanisha mdada na hatuna utani kwenye hili hususani mimi sipendi ujinga ujinga kabisa. Na nakemea vikali wanaume wote wa humu wanaotania tania wanawake warembo kama wewe.
Nakushauri mkiwa na Baby hakikisha PICHA isiwe utamaduni wenu..usipendelee sanaaa kupiga piga mapicha maana IPO siku picha yako mwenyewe utakua unaiogopa.
YashaamkaNaona mashairi kama ya kwenye wimbo uliobora....
Nami nasema " nawasihi enyi binti za Yerusalemu msiyaamshe mapenzi...."
SawaNdoa yenu wana jff tupewe card za mualiko
Niko hapa naandaa mashairi mimi jamani...Hewaala.
Nipewe nini mimi....uzi ushaanza kusukwa.
You're so irresistible... usibanie moyo kitu unataka muda mwingine tunakosa vinono kwa kuogopa athari ambazo kimsingi hazina uzito.vioja vinavyokutana navyo pm sijui ni mtu mmoja ananichezea na id mbali mbali
Kwako ni kweli.Kama kweli vileee
Nikajua itakufa nyan'ganyan'ga...??Niko hapa naandaa mashairi mimi jamani...
Kesho jf itasimama
hahahahUmesababisha nicheke kwa nguvu
Ebu acha kumtisha dada wa watuOhooo samaki mwingine huyu amekutana na baharia ,tumpe mwezi tu atarudi hapa analialia na hizo ngonjera zake zote zitakuwa vice versa.
Mambo mengine mtuulize sisi kwanza tuwape experience.
Nisimulie hebuIla kuna wanaume hawapo serious kabisa.
Napenda kufuatilia dates saana hii ilinivunja mbavu.. kama una mb pita uisikilize.
Cc Sky Eclat Sakayo
Heaven Sent
Mmhh.Ukisikia uchawi ndo huu sasa!
Wewe baki na ubaharia wako, wanaume waamifu wapo jf, tena wengi sana!
Cc@Njopino


