Nimepata mpenzi Jf

Nimepata mpenzi Jf

Hahahaaaa wimbo ulio bora hongera mwaya
1. Mpenzi wangu ni mzuri na mwenye nguvu,mashuhuri miongoni mwa wanaume elfu kumi wa hapa jf

2.Kichwa chake kizuri kama dhahabu safi,nywele zake ni za ukoka,nyeusi ti kama kunguru.

3.Macho yake ni kama ya hua kandokando ya kijito,ni kama njiwa waliooga maziwa kando ya kijito.

4.Mashavu yake ni kama matuta ya rihani, kama bustani iliyojaa manukato na manemane.

5.Mikono yake imewekwa bangili za dhahabu

6.Miguu yake ni kama nguzo za alabasta

7.Kinywa chake kimejaa maneno matamu,kwa ujumla anapendeza.

Basi, hivyo ndivyo alivyo mpenzi wangu,naam, ndivyo alivyo rafiki yangu,enyi wana Jamii forum

#Honey najua utapita hapa '
asante kwa kuniona katikati ya wengi, asante kwa upendo unaonipa, Nakuahidi heshima na unyenyekevu, nitakuwa faraja yako wakati wa majonzi, Msaidizi wako wakati wote, Aibu yako itakuwa aibu yangu, shida yako shida yangu, nitakuwa mshauri asiyechoka, Nitakuwa heri kwako siku zote za maisha yetu, Asante kwa kunipenda

#LoveIsSomethingElseWeeSikiaTuKwaJirani
 
1. Mpenzi wangu ni mzuri na mwenye nguvu,mashuhuri miongoni mwa wanaume elfu kumi wa hapa jf
2.Kichwa chake kizuri kama dhahabu safi,nywele zake ni za ukoka,nyeusi ti kama kunguru.
3.Macho yake ni kama ya hua kandokando ya kijito,ni kama njiwa waliooga maziwa kando ya kijito.
4.Mashavu yake ni kama matuta ya rihani, kama bustani iliyojaa manukato na manemane.
5.Mikono yake imewekwa bangili za dhahabu
6.Miguu yake ni kama nguzo za alabasta
7.Kinywa chake kimejaa maneno matamu,kwa ujumla anapendeza.
Basi, hivyo ndivyo alivyo mpenzi wangu,naam, ndivyo alivyo rafiki yangu,enyi wana Jamii forum
#Honey najua utapita hapa '
asante kwa kuniona katikati ya wengi, asante kwa upendo unaonipa, Nakuahidi heshima na unyenyekevu, nitakuwa faraja yako wakati wa majonzi, Msaidizi wako wakati wote, Aibu yako itakuwa aibu yangu, shida yako shida yangu, nitakuwa mshauri asiyechoka, Nitakuwa heri kwako siku zote za maisha yetu, Asante kwa kunipenda
#LoveIsSomethingElseWeeSikiaTuKwaJirani
asante kwa wimbo ulio bora
 
Aha...kumbe ndio maana niliona bible ikinijia kichwani baada ya kusoma. Hayo maneno siyo ya kawaida.
Unasoma sana bible?
Kila siku nikiamka na kabla sijaenda kulala. Mwaka huu nilipanga kuisoma yote na sasa nipo Injili ya Yohana. Nikiongeza spidi nadhani nitaimaliza kabla mwaka haujaisha. Wewe husomagi?
 
Wapo mabaharia kama wote jf, lakini pia kuna watu wema, usiconclude kwa namna wewe ulivyo basi wote wapo hivyo, generalization ndo inafanya hata watu wema kuonekana wabovu

Kama baharia hata mtaani wapo

So no matter ni wapi umekutana na mtu, mtu mwema atabaki kuwa mwema na baharia baharia ova
100% wema ndo hulizwa mkuu
 
1. Mpenzi wangu ni mzuri na mwenye nguvu,mashuhuri miongoni mwa wanaume elfu kumi wa hapa jf

2.Kichwa chake kizuri kama dhahabu safi,nywele zake ni za ukoka,nyeusi ti kama kunguru.

3.Macho yake ni kama ya hua kandokando ya kijito,ni kama njiwa waliooga maziwa kando ya kijito.

4.Mashavu yake ni kama matuta ya rihani, kama bustani iliyojaa manukato na manemane.

5.Mikono yake imewekwa bangili za dhahabu

6.Miguu yake ni kama nguzo za alabasta

7.Kinywa chake kimejaa maneno matamu,kwa ujumla anapendeza.

Basi, hivyo ndivyo alivyo mpenzi wangu,naam, ndivyo alivyo rafiki yangu,enyi wana Jamii forum

#Honey najua utapita hapa '
asante kwa kuniona katikati ya wengi, asante kwa upendo unaonipa, Nakuahidi heshima na unyenyekevu, nitakuwa faraja yako wakati wa majonzi, Msaidizi wako wakati wote, Aibu yako itakuwa aibu yangu, shida yako shida yangu, nitakuwa mshauri asiyechoka, Nitakuwa heri kwako siku zote za maisha yetu, Asante kwa kunipenda

#LoveIsSomethingElseWeeSikiaTuKwaJirani
Umemshusha sana hadhi huyo mwanaume,
Yan unamsifia utazan demu bwana! Mwanaume msifie kwa kazi, kujali watu na kuthamin mda mengine hayo n masifa ya wadada.
 
Back
Top Bottom