Nimepata mpenzi Jf

Nimepata mpenzi Jf

Ohooo samaki mwingine huyu amekutana na baharia ,tumpe mwezi tu atarudi hapa analialia na hizo ngonjera zake zote zitakuwa vice versa.
Mambo mengine mtuulize sisi kwanza tuwape experience.
Mwezi wote huo? Wiki mbili tu zinatosha
 
Ukisikia uchawi ndo huu sasa!

Wewe baki na ubaharia wako, wanaume waamifu wapo jf, tena wengi sana!

Cc@Njopino
Naunga mkono Mada.
Waache kujumlishia wenzao waaminifu waliopo humu.

Kuna Watu wema, wazuri wenye sifa zote humu ndani.
Ngoja Hadi tufunge ndoa ndio wataamini Kama humu Kuna wanaume sio wajinga
 
Back
Top Bottom