Nimepata mpenzi Jf

Nimepata mpenzi Jf

Mimi nakutakia kila lenye baraka, mjitahidi sana kuweka mambo yenu private, asijue mtu hata kama mnapitia magumu, especially humu.

.. lakini nasisitiza, mpeane tunda la adam ili mjuane vizuri, tunda ni tamu kama linatosha, tunda ndio kiunganishi cha maisha yenu. Peaneni na msinyimane...
Asante

Kipengele cha pili cha ushauri, naendelea kukitafakari
 
Naunga mkono Mada.
Waache kujumlishia wenzao waaminifu waliopo humu.

Kuna Watu wema, wazuri wenye sifa zote humu ndani.
Ngoja Hadi tufunge ndoa ndio wataamini Kama humu Kuna wanaume sio wajinga

Ifike stage uzi wa jf members waliooana uanze ili hawa wakuja waelewe 🤣
Ishukuriwe jf ilinikutanisha na ubavu
 
Back
Top Bottom