Nimepata mpenzi Jf

Nimepata mpenzi Jf

Ndio maana hutakiwi kuweka mahusiano yako public wahenga wanamaana [emoji28][emoji28][emoji28]ona sasa huyo alipotokea kuwatilia nuksi wenzake eti “mtaachana tu”[emoji1787]
Hahahhaa mambo ya insta wanaleta huku
 
on a serious note kabisa kama Elly alivyosema nakazia poteza contacts zote za wana jf usiseme chochote kwa mtu yoyote sijui ana gari zuri anaishi pazuri atanyakuliwa usiamini[emoji1787]
Na yeye pia I hope ni mtu anajielewa hana magroup huko watsap ya watu wa jf
Tembeeni safari yenu wawili kuna wakati mgumu mtapitia usithubutu kumsimulia mtu wa humu[emoji4]
Brenda asante mamy, nimelichukuwa kama lililo
 
Elewa kwamba Shetani hana uwezo wa kumuingia Mwanaume bila kupitia kwa Mwanamke,
Ndo maana tunasema kusingekua na wanawake Duniani basi wanaume wote tungeenda Peponi

KAMA HUTAKI KUELEWA BASI
Ngoja nilazimishe kuelewa
 
[emoji8][emoji8]
images%20(5).jpeg
 
Eee sitaki mambo ya blaa nataka nae awe na amani [emoji23][emoji23][emoji23]
Changamsha genge tu najua sio wangu maana majina yanayoanzia na G ni mengiiii halaf G sio la humu la humu anaanzia M

M [emoji849][emoji849]
 
Back
Top Bottom