Nimepata mpenzi Jf

Nimepata mpenzi Jf

on a serious note kabisa kama Elly alivyosema nakazia poteza contacts zote za wana jf usiseme chochote kwa mtu yoyote sijui ana gari zuri anaishi pazuri atanyakuliwa usiamini
Na yeye pia I hope ni mtu anajielewa hana magroup huko watsap ya watu wa jf
Tembeeni safari yenu wawili kuna wakati mgumu mtapitia usithubutu kumsimulia mtu wa humu
Brenda asante mamy, nimelichukuwa kama lililo
 
Elewa kwamba Shetani hana uwezo wa kumuingia Mwanaume bila kupitia kwa Mwanamke,
Ndo maana tunasema kusingekua na wanawake Duniani basi wanaume wote tungeenda Peponi

KAMA HUTAKI KUELEWA BASI
Ngoja nilazimishe kuelewa
 
images%20(5).jpeg
 
Back
Top Bottom