Sawa kakaMkigombana malizaneni huko huko! Mambo ya kuja kutuwekea picha sijui huyu hajui kutunza kucha vizuri, mara hana hela, hanukii vizuri hatutaki hapa
Wewe ni nani mpaka upingeHili tumelimaliza hata siongezi neno usije geuza.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hiyo itakuwa rushwa sasaWewe unajua chakunifanyia kama wataka tume itende haki.
Usichelewe fanya haraka kabla hatujakamatwa.
Simjazi walaa
Huo ndo ukweli, wanaume wapo humu jf waowaji, wenye mapenzi ya dhati na waaminifu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] na kweliAiiimeeennnn
Mod waongeze option ya kufuli mbili
Kwani huyu ni me?[emoji848]
Dhakari ni niniMbona Hujasema Dhakari yake ipoje
Hili tulijue wawili basi...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hiyo itakuwa rushwa sasa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Acha kumtishaa...
Sema wewe siyo sisiOk, ENDELEA KUJIFANYA UNATUJUA VIZURI WANAUME KULIKO TUNAVYOJIJUA
KUMBUKA SISI NDO BINADAMU PEKEE TUNAOOGOPWA NA SHETANI
Mtaachana tu.
Angalia asichomoe betri [emoji23][emoji23][emoji23]
Asante saanaHongereni sana
[emoji57][emoji57]Ushuzi wake nikama manukato. Yasio tiwaa chahuu