Sawa kakaMkigombana malizaneni huko huko! Mambo ya kuja kutuwekea picha sijui huyu hajui kutunza kucha vizuri, mara hana hela, hanukii vizuri hatutaki hapa
Wewe ni nani mpaka upingeHili tumelimaliza hata siongezi neno usije geuza.
Wewe unajua chakunifanyia kama wataka tume itende haki.
Usichelewe fanya haraka kabla hatujakamatwa.




hiyo itakuwa rushwa sasaSimjazi walaa
Huo ndo ukweli, wanaume wapo humu jf waowaji, wenye mapenzi ya dhati na waaminifu
Kwani huyu ni me?![]()
Dhakari ni niniMbona Hujasema Dhakari yake ipoje
Hili tulijue wawili basi...hiyo itakuwa rushwa sasa
Acha kumtishaa...
Sema wewe siyo sisiOk, ENDELEA KUJIFANYA UNATUJUA VIZURI WANAUME KULIKO TUNAVYOJIJUA
KUMBUKA SISI NDO BINADAMU PEKEE TUNAOOGOPWA NA SHETANI
Mtaachana tu.


Asante saanaHongereni sana