Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Usikufwe dadaHahahahaha dada unataka nikufe unizike mle dagaaa
Usikufwe dadaHahahahaha dada unataka nikufe unizike mle dagaaa
Jamani nilikuwa nabebika G kazidiwa na usingizi leo kama na huyo wako amekuaga imekula kwako
Nimemwambia baby nachart kidogo jf, kasema sawa but take care jamani nahisi kuzimia yani hiyo tu take care i feel so lovely




JamaniiLitakuja dongo... wanawake hatupendan
Naona unaweka na mambo za mchana na usikuDada napambanaaa![]()
Atakuwa anapata dudu la yuyuuu
Tuseme shunie kanitelekezaa











Naona unaweka na mambo za mchana na usiku



Sawa mama G mwenzangu hope ka moyo kamesuuzikaMi wangu kwao mchana saa hii na sio usiku kuwa na amani![]()
Amekopi kila kitu kutoka katika Wimbo Ulio Bora. Matirio ya Mfalme Suleiman hayo...Sanaa yako ya maneno ni nzuri. Kwanini tusiandike bible mpya tuseme tumeoteshwa kisha tuwapige mazuzu hela hapa mjini?
Naumwa kweli auntie
UshindweMTAACHANA TU
Ndo nakunywa hapa, nasubiri ka msg ka mpesaAtoto agiza thoda kwa mangi


Nami naomba mgao.Simjazi walaa
Huo ndo ukweli, wanaume wapo humu jf waowaji, wenye mapenzi ya dhati na waaminifu
Mungu akutangulieee ila usilud unaliaa1. Mpenzi wangu ni mzuri na mwenye nguvu,mashuhuri miongoni mwa wanaume elfu kumi wa hapa jf
2.Kichwa chake kizuri kama dhahabu safi,nywele zake ni za ukoka,nyeusi ti kama kunguru.
3.Macho yake ni kama ya hua kandokando ya kijito,ni kama njiwa waliooga maziwa kando ya kijito.
4.Mashavu yake ni kama matuta ya rihani, kama bustani iliyojaa manukato na manemane.
5.Mikono yake imewekwa bangili za dhahabu
6.Miguu yake ni kama nguzo za alabasta
7.Kinywa chake kimejaa maneno matamu,kwa ujumla anapendeza.
Basi, hivyo ndivyo alivyo mpenzi wangu,naam, ndivyo alivyo rafiki yangu,enyi wana Jamii forum
#Honey najua utapita hapa '
asante kwa kuniona katikati ya wengi, asante kwa upendo unaonipa, Nakuahidi heshima na unyenyekevu, nitakuwa faraja yako wakati wa majonzi, Msaidizi wako wakati wote, Aibu yako itakuwa aibu yangu, shida yako shida yangu, nitakuwa mshauri asiyechoka, Nitakuwa heri kwako siku zote za maisha yetu, Asante kwa kunipenda
#LoveIsSomethingElseWeeSikiaTuKwaJirani
1. Mpenzi wangu ni mzuri na mwenye nguvu,mashuhuri miongoni mwa wanaume elfu kumi wa hapa jf
2.Kichwa chake kizuri kama dhahabu safi,nywele zake ni za ukoka,nyeusi ti kama kunguru.
3.Macho yake ni kama ya hua kandokando ya kijito,ni kama njiwa waliooga maziwa kando ya kijito.
4.Mashavu yake ni kama matuta ya rihani, kama bustani iliyojaa manukato na manemane.
5.Mikono yake imewekwa bangili za dhahabu
6.Miguu yake ni kama nguzo za alabasta
7.Kinywa chake kimejaa maneno matamu,kwa ujumla anapendeza.
Basi, hivyo ndivyo alivyo mpenzi wangu,naam, ndivyo alivyo rafiki yangu,enyi wana Jamii forum
#Honey najua utapita hapa '
asante kwa kuniona katikati ya wengi, asante kwa upendo unaonipa, Nakuahidi heshima na unyenyekevu, nitakuwa faraja yako wakati wa majonzi, Msaidizi wako wakati wote, Aibu yako itakuwa aibu yangu, shida yako shida yangu, nitakuwa mshauri asiyechoka, Nitakuwa heri kwako siku zote za maisha yetu, Asante kwa kunipenda
#LoveIsSomethingElseWeeSikiaTuKwaJirani
Hapa ku refresh tuEee sitaki mambo ya blaa nataka nae awe na amani
Changamsha genge tu najua sio wangu maana majina yanayoanzia na G ni mengiiii halaf G sio la humu la humu anaanzia M