Nimepata mpenzi Jf

Nimepata mpenzi Jf

Naomba kukuuliza..

Umeshamfungulia dunia tayari?
Kama bado aisee hizo sifa ulizomwaga hapo juu zi pause kwanza maaana asije kuuliza wauzaji wa ile dawa maarufu kwa wanaume #Al kasus# migongo ni tatizo!
Hahahahahahahahhahahahahahahaha mbavu zinauma kucheka, dah sijui na sina cha kujibu
 
Mi nilikuwa napenda kufatilia ya take me out mzansi
It was take me out SA...Joe sijui yupo wapi.

Bado mie huwa najikumbushia Youtube utakubaliana na mimi Wa South Africa ni wazuri saana na wametuzidi kila kitu ukiangalia ile show ilivyokuwa inaandeshwa utawapenda.

Nilijifunza mengi kuhusu wanawake kupitia show za namna hiyo.
 
"asante kwa kuniona katikati ya wengi, asante kwa upendo unaonipa, Nakuahidi heshima na unyenyekevu, nitakuwa faraja yako wakati wa majonzi, Msaidizi wako wakati wote, Aibu yako itakuwa aibu yangu, shida yako shida yangu, nitakuwa mshauri asiyechoka, Nitakuwa heri kwako siku zote za maisha yetu, Asante kwa kunipenda"

He must be smiling while reading this, Lovely
 
kwa kukazia mnapokua pamoja usipendelee sana matumizi ya smart phone..na hta kama itawalazimu kupiga pcha basi hakikisha unakaa vizuri pcha itoke vizuri,usikae hovyo hovyo Jitahidi mpige wote picha usikubali kupiga pcha mwenyewe.

Mi nimemaliza...nikiwa kama katibu wa Kamati.
 
Back
Top Bottom