Kwa taarifa yako walokole ndiyo balaa kabisa kwa u TP.Nimelibaini hilo japo sina uhakika lkn yeye mlokole ss atadanganya kwl
Tuma uliweBodaboda anasema hajawahi kupanda na huko aliko ziko mbali ila ana namba za taxi dreva tu
Na kweli siwezni kweli kabisa ila kwa mwanaume yoyote hakuna cha Bure labla kwa mkeo ulomtolea mahali, Hugo Dada anaona aanze kuingia gharama wakati hata MTU hawajusni physically?
anyway mleta uze kasome iniri ya Luke chp 16:1-16 (ambae hawezi kutoa kidogo hats kikubwa hawezi)
Halafu kati ya ke walio jirani na wewe hakuna hata mmoja anayekufaa hadi uje kujianika huku JF kama dagaa?Ww unatumia kigezo kipi kujua kuwa mlokole...au ndo hzo picha mnazotumiana???
1...kumbuka hapa ni mjini watu wapo radhi kuvaa viatu vyovyote linapokuja swala la pesa
2...ww ulitaka mchumba ili MPENDANE au ili wewe UMPENDE yeye asikupende??...kama jibu "MPENDANE" anashindwaje kutumia nauli yale kwenye daladala ambayo nna uhakika haizidi elf 5 kuja kukuona????
3....kama anashindwa kuja kukuona bila kumpa elfu 50 then ask yourself "what is love???"
4....kuwa makini
5.....there are still more things that are worthwhile to do in a life than love(..bado kuna vitu vingi vya kufanya katika maisha zaidi ya mapenzi)
Ni bora angeomba pesa kidogo bas hiyo 50 ni nyingi mno lazma mtu ushtuke kwa maisha yalivyobana kipindi hikiHuyo ni money scavenger, mtose, au mwambie achumbiwe na benki. Yaani kuonana anataka nauli ya Dar to Mwanza. Mkikutana matumizi yake yatakuwa ni ticket ya Airbus Dar 2 Mza.
kwan mlokole ni malaika kwamba asidanganyeNimelibaini hilo japo sina uhakika lkn yeye mlokole ss atadanganya kwl
![]()
![]()
![]()
![]()
ukoo mzima hakuna aliyewah kupanda ndege,taxi nilibebwa napelekwa hospital naumwa tu leo nitoe 50 ya taxi kwa mchumba si bora nimtumie mamaangu anunue kitenge
