Nimepata mchumba au kombora?

Nimepata mchumba au kombora?

Mwambie akupe akaunti ya benki umtumie atoe kwenye ATM.. Kama ni for real lazima atakuwa na akaunt.
 
baba mwenzio kaomba nauli tu ya hako kataksi unakuja kuomba ushauri , ukiambiwa umnunulie tiketi ya ndege si utajinyonga .

tuma nauli huko acha ubahili
ukoo mzima hakuna aliyewah kupanda ndege,taxi nilibebwa napelekwa hospital naumwa tu leo nitoe 50 ya taxi kwa mchumba si bora nimtumie mamaangu anunue kitenge
 
Miezi kadhaa nilipost hapa nikitafuta mchumba wa kuoa

Nikapata kama wadada wawili,ktk kuchuja kwangu nikampenda mwenye rangi nyeupe maana mwingine ni black,

Tumechat whatsapp kwa miez sasa bila kuonana lkn tunatumiana picha mbalimbali aidha tupo kazini au nyumbani,

Jana tulipanga appointment ya kuonana na mimi nisingeweza kumfata aliko ila akaomba nimtumie elfu 50 achukue taxi mpaka nilipo,

Sasa nipo dilema najiuliza hivi nitume kweli 50 au niache maana moyo una 6 au ni mhuni maana?

Hapa mjini!
Sasa baada ya kukwama kwa chepe dawa, rudi kwa black currant 😀😀
 
WATU NI WACHOCHEZI KWELI

ET UKITAJA ID ULOTUMIA KUPOST UNATAFTA MCHUMBA NAFUNGA ID YANGU JF,

MI SIO CHIZI KIASI HICHO

KWAHIYO MNATAKA KUMJUA HUYO DADA EEE

POLENI MI NINAYO HOFU NAPENDA MAISHA YANGU PIA
 
Ww unatumia kigezo kipi kujua kuwa mlokole...au ndo hzo picha mnazotumiana???
1...kumbuka hapa ni mjini watu wapo radhi kuvaa viatu vyovyote linapokuja swala la pesa
2...ww ulitaka mchumba ili MPENDANE au ili wewe UMPENDE yeye asikupende??...kama jibu "MPENDANE" anashindwaje kutumia nauli yale kwenye daladala ambayo nna uhakika haizidi elf 5 kuja kukuona????

3....kama anashindwa kuja kukuona bila kumpa elfu 50 then ask yourself "what is love???"
4....kuwa makini
5.....there are still more things that are worthwhile to do in a life than love(..bado kuna vitu vingi vya kufanya katika maisha zaidi ya mapenzi)
Mm pia nkawa nawaza kam wwe

Ukimpenda mtu kwa dhat huwa hakuna cost...au limitations eti ntumie hyo hela kwanza ndo nije khaaaaa hamna mapenz ya hivyo
Ukipenda huwa tunatumia cost zetu sometimes hata kumuomba hyo unaempnda unaona aibu au unawaza kuwa anawez nifikiria gold digger....mbaya zaid anafanya kazi khaaaa
Angekuwa hana kazi sawa....na hata km ni vip huwez tumia cost kubwa kias hicho cha kumuona unempnda kwa gari hazipo....she want to tell me kuwa she alwys use taxi in evry root....
Sipendi dependant girls while they are working basi tu
 
Miezi kadhaa nilipost hapa nikitafuta mchumba wa kuoa

Nikapata kama wadada wawili,ktk kuchuja kwangu nikampenda mwenye rangi nyeupe maana mwingine ni black,

Tumechat whatsapp kwa miez sasa bila kuonana lkn tunatumiana picha mbalimbali aidha tupo kazini au nyumbani,

Jana tulipanga appointment ya kuonana na mimi nisingeweza kumfata aliko ila akaomba nimtumie elfu 50 achukue taxi mpaka nilipo,

Sasa nipo dilema najiuliza hivi nitume kweli 50 au niache maana moyo una 6 au ni mhuni maana?

Hapa mjini!
HUU MJADALA NAUFUNGA RASMI KWA SASA MAANA HUYO BINTI KASHATUMA MTU NIKO NAE HAPA ANA UJUMBE NGOJA NIMSIKILIZEUKIMYA TAFADHALI
 
Haya, ila usitume! Ukituma utakua mjinga, na siku zote mwanaume wa kweli huwa na nidhamu ya pesa.
Kama vipi nenda wewe huko aliko uone kama utatumia hyo elf 50.
Hilo wazo jema
 
Mm pia nkawa nawaza kam wwe

Ukimpenda mtu kwa dhat huwa hakuna cost...au limitations eti ntumie hyo hela kwanza ndo nije khaaaaa hamna mapenz ya hivyo
Ukipenda huwa tunatumia cost zetu sometimes hata kumuomba hyo unaempnda unaona aibu au unawaza kuwa anawez nifikiria gold digger....mbaya zaid anafanya kazi khaaaa
Angekuwa hana kazi sawa....na hata km ni vip huwez tumia cost kubwa kias hicho cha kumuona unempnda kwa gari hazipo....she want to tell me kuwa she alwys use taxi in evry root....
Sipendi dependant girls while they are working basi tu
Ulikua wap ndugu yangu bora umesema ukweli niliokuwa sijaujua na kuutamka hapa
 
ukoo mzima hakuna aliyewah kupanda ndege,taxi nilibebwa napelekwa hospital naumwa tu leo nitoe 50 ya taxi kwa mchumba si bora nimtumie mamaangu anunue kitenge
Tena mchumba mwenyewe hewa!! Maana hata wewe hujui kama mtakubaliana mtakapoonana au vipi, halafu huyo bado ni rafiki/ mpenzi, kwan mlichumbiana lini nyie?
 
Tena mchumba mwenyewe hewa!! Maana hata wewe hujui kama mtakubaliana mtakapoonana au vipi, halafu huyo bado ni rafiki/ mpenzi, kwan mlichumbiana lini nyie?
Wala hatujachumbiana ndo kwanza tungeanza kuonana leo
 
Mm pia nkawa nawaza kam wwe

Ukimpenda mtu kwa dhat huwa hakuna cost...au limitations eti ntumie hyo hela kwanza ndo nije khaaaaa hamna mapenz ya hivyo
Ukipenda huwa tunatumia cost zetu sometimes hata kumuomba hyo unaempnda unaona aibu au unawaza kuwa anawez nifikiria gold digger....mbaya zaid anafanya kazi khaaaa
Angekuwa hana kazi sawa....na hata km ni vip huwez tumia cost kubwa kias hicho cha kumuona unempnda kwa gari hazipo....she want to tell me kuwa she alwys use taxi in evry root....
Sipendi dependant girls while they are working basi tu
ni kweli kabisa ila kwa mwanaume yoyote hakuna cha Bure labla kwa mkeo ulomtolea mahali, Hugo Dada anaona aanze kuingia gharama wakati hata MTU hawajusni physically?

anyway mleta uze kasome iniri ya Luke chp 16:1-16 (ambae hawezi kutoa kidogo hats kikubwa hawezi)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom