Nimepata kisonono kizembe sana naomba ushauri

Nimepata kisonono kizembe sana naomba ushauri

Ni wiki 3 sasa tangu nimekutana na mwanamke na hii ni baada ya kupima nae kabla na kukuta hana maambukizi, baada ya siku kadhaa nilikutana nae baada ya kumuamini na ndipo nilipo ona usaa kwenye uume wangu, nilienda hospital nikaanzishiwa Ceftriaxone na tabs Ciproflaxin pamoja na Dox.

Nimetibiwa lakini mpaka sasa napata maumivu kwenye urethra na nikikojoa napata maumivu japo usaha umeacha kutoka naombeni ushauri hali sio poa.
Matibabu yalitakiwa kwa wote wawili,
Mkianza tiba mpeane off kidogo kupisha uponyaji, Acheni uroho!!
 
Kisonono ni ugonjwa wa kishenzi sana
 
Aliamua kupona na kukaa kimia, apunguze kutaman jicho sometime
hahahaha shida mlimchamba hadi ikapelekea kupona automatic.

Ila kama alipona aje atupe formula alitumia dawa gan hadi kurecovery? Grau
 
Back
Top Bottom