Sii vizuri, mpe kidogo akaushie mlendaUkome!
Dozi ya kizaman sana alaf nowadays madawa haya feki n mengi sana madokta weng wa kibongo wamekariri hzo dawa but nowadays performance yake n ndogo sana... sku ingne unamwambia mhudum wa afya akupige POWERSAFE 200mls (moja tu) ,azuma za rangi ya pink zpo kwenye kopo la kawaida (3×2) na vidonge 2 tu vya kusafisha njia ya mkojo hapo unakuwa new kabsa mm sio dokta uzoefu tu mjiniNi wiki 3 sasa tangu nimekutana na mwanamke na hii ni baada ya kupima nae kabla na kukuta hana maambukizi, baada ya siku kadhaa nilikutana nae baada ya kumuamini na ndipo nilipo ona usaa kwenye uume wangu, nilienda hospital nikaanzishiwa Ceftriaxone na tabs Ciproflaxin pamoja na Dox.
Nimetibiwa lakini mpaka sasa napata maumivu kwenye urethra na nikikojoa napata maumivu japo usaha umeacha kutoka naombeni ushauri hali sio poa.
AiseeUmeamua uje unitangaze huku maiko?
Wajina wako kanikosea🥺Aisee
Ceftriaxone sindio powersafe?Dozi ya kizaman sana alaf nowadays madawa haya feki n mengi sana madokta weng wa kibongo wamekariri hzo dawa but nowadays performance yake n ndogo sana... sku ingne unamwambia mhudum wa afya akupige POWERSAFE 200mls (moja tu) ,azuma za rangi ya pink zpo kwenye kopo la kawaida (3×2) na vidonge 2 tu vya kusafisha njia ya mkojo hapo unakuwa new kabsa mm sio dokta uzoefu tu mjini
Msamehane, kuna kuombana mechi za kiurafiki baada ya kuponaWajina wako kanikosea🥺
Aseme anapatikana wapi,nimuongezee na pangusa kifutike kabisa hicho kikojoleo!Sii vizuri, mpe kidogo akaushie mlenda
Alafu hizo dawa za kusafisha njia ya mkojo ndio zipi?Dozi ya kizaman sana alaf nowadays madawa haya feki n mengi sana madokta weng wa kibongo wamekariri hzo dawa but nowadays performance yake n ndogo sana... sku ingne unamwambia mhudum wa afya akupige POWERSAFE 200mls (moja tu) ,azuma za rangi ya pink zpo kwenye kopo la kawaida (3×2) na vidonge 2 tu vya kusafisha njia ya mkojo hapo unakuwa new kabsa mm sio dokta uzoefu tu mjini
Umechoma sondano siku ngapi?Ni wiki 3 sasa tangu nimekutana na mwanamke na hii ni baada ya kupima nae kabla na kukuta hana maambukizi, baada ya siku kadhaa nilikutana nae baada ya kumuamini na ndipo nilipo ona usaa kwenye uume wangu, nilienda hospital nikaanzishiwa Ceftriaxone na tabs Ciproflaxin pamoja na Dox.
Nimetibiwa lakini mpaka sasa napata maumivu kwenye urethra na nikikojoa napata maumivu japo usaha umeacha kutoka naombeni ushauri hali sio poa.