Mkuu vile vipimo vya kuweka kwenye meno 🤣Hivyo vipimo vya kununua maabara kujipima vitawaua sana...
Yaani ndio imekuwa fashion, mtu anaamini kabisa akimpima mwenzake basi anajiachia hata condom hatumii..
Mtu akiwa na maambukizi ya karibuni kipimo hakiwezi tambua, kuna watu window period hadi miezi 6.. kipimo hakioni chochote...
Sasa unajichanganya na vipimo vyako...
Vaeni condom wazee, mtapukutika sio poa.. huwezi mpima mtu na hivyo vi antibody test kit ukamumini 100%...
Jiandae kubugia njugu tu.. maana mkiambiwa tumieni condom hamsikii...
MamamaeeeeNimeumaliza mwendo sio?
Wacha nikatibiwe kwanza sjui atakubali sema nae aliisugua sana wadudu walikuwa wamelala akawaamshaMsamehane, kuna kuombana mechi za kiurafiki baada ya kupona
🤣🤣 Bangi hizi, alaf wanaume wapata Gono huwa nibwengi sana sema tu hawajisemi.Kuna jamaa alikuja na picha ya pipe akiomba ushauri, na bahati mbaya sana wadada walianza kusifia dude bada ya kutoa ushauri....🤣
Pole sana mkuu, nenda ukaukate huo mkia wa mbele, utakuja kunishukuru 😜
Vyote hivyo.. iwe vya damu, iwe hivyo vya oral..Mkuu vile vipimo vya kuweka kwenye meno 🤣
Kisha huyo mwanamke ampeleke aliyemwambukiza,.......mpaka chain ivunjwe.Maliza dozi na mwambie huyo mwanamke akatibiwe.
Huyo kashasema yeye siyo daktari.Ceftriaxone sindio powersafe?
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😅😀😀😁😶😶Kuna jamaa alikuja na picha ya pipe akiomba ushauri, na bahati mbaya sana wadada walianza kusifia dude bada ya kutoa ushauri....🤣
Pole sana mkuu, nenda ukaukate huo mkia wa mbele, utakuja kunishukuru 😜