Huihui2
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 9,146
- 13,714
Unapohitaji kunywa soda hiyo agiza maji tu. No moreKweli nimekuelewa sasa nipe mbinu za kuacha
Unapohitaji kunywa soda hiyo agiza maji tu. No moreKweli nimekuelewa sasa nipe mbinu za kuacha
Sasa shida unajua nini mkuu kuna ile kiu fulani haikatwi na maji tunafanyaje?Unapohitaji kunywa soda hiyo agiza maji tu. No more
Fanya mazoezi ya viungo. Cheza mpira kama unaweza, fanya gym au tembea hata km 5 kama una muda. Ni ngumu kuanza lakini utazoeaSasa shida unajua nini mkuu kuna ile kiu fulani haikatwi na maji tunafanyaje?
Kutembea napenda sana na ndio Zoezi langu kubwa sio km 5 tu natembea umbali mrefu hata km 10 mpaka 15 kwenda na kurudi ni zoezi tosha kwanguFanya mazoezi ya viungo. Cheza mpira kama unaweza, fanya gym au tembea hata km 5 kama una muda. Ni ngumu kuanza lakini utazoea
ikibid ujirazimishe kupitisha siku bila kunywa hiyo.Leo nimekunywa moja tu ndio naanza kupunguza kidogo kidogo
Kisukari kikikukamata vizuri utaacha tu bila kupenda 😂😂😂😂😂😂Wakuu,
Sijui natokaje kwenye hii addiction ila alietengeneza hiki kitu hakika ni fundi na amenikamata na sijui ametumia formula gani. Kila nikitumia hua kuna maswaali najiuliza huyu ametumia formula gani?
Haipiti siku namaliza chupa hata 3 mpaka 4.
Addiction.
View attachment 3572328
Nilipumzika siku moja sasa nikajaribu jana naona km ladha imebadirika sijaelewa kabisaKuna muda tu utafika itakukinai