VERBOSE
JF-Expert Member
- Sep 12, 2022
- 9,105
- 14,452
Wakuu,
Sijui natokaje kwenye hii addiction ila alietengeneza hiki kitu hakika ni fundi na amenikamata na sijui ametumia formula gani. Kila nikitumia hua kuna maswaali najiuliza huyu ametumia formula gani?
Haipiti siku namaliza chupa hata 3 mpaka 4.
Addiction.
Sijui natokaje kwenye hii addiction ila alietengeneza hiki kitu hakika ni fundi na amenikamata na sijui ametumia formula gani. Kila nikitumia hua kuna maswaali najiuliza huyu ametumia formula gani?
Haipiti siku namaliza chupa hata 3 mpaka 4.
Addiction.