Nimepata addiction

Nimepata addiction

Duuuh wewe ushanunua?
20250901_153818.png
 
Wakuu,

Sijui natokaje kwenye hii addiction ila alietengeneza hiki kitu hakika ni fundi na amenikamata na sijui ametumia formula gani. Kila nikitumia hua kuna maswaali najiuliza huyu ametumia formula gani?

Haipiti siku namaliza chupa hata 3 mpaka 4.
Addiction.
View attachment 3572328
Changanya na mo energy ile kubwa....
 
Addiction and Craving ni kawaida kwa carbonated drinks, sababu ni Sugar, Caffeine na Carbonation.

Ndio maana utasikia mtu kila akila lazima ashushie pepsi au Coca-Cola baridi. 😁
 
Kweli mkuu ila kuna kitu kimoja wewe unapenda kahawa ila mimi kahawa siiwezi sio kahawa tu hata chai siiwezi labda uniwekee mchaichai ila sio majani ya chai siwezi kabisa huwezi amini, hio ninapenda ladha [flavour] sensation of taste fulani hivi imewekwa humo kwenye hio chupa hio ndio inaniita sio kingine kuna kiladha fulani hivi cha tofauti humo, sasa nikianza kunywa sometimes nafikiria sijui nini yaan ningekua hata na pipa limejaa tu hio mimi kazi yangu ni kuchota na kunywa tu, feelings
Killing yourself slowly
 
Ukielewa kwamba unachofanya ni hatari kwa afya yako, lazima utachukua hatua stahiki.

Soma kiwango cha sukari iliyopo kwenye hicho kinywaji, jiulize kama mwili wako unakihitaji au ni kuuendekeza?
Nimeanza kupunguza najitahidi kupunguza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom