AXIOM APEX VERBOSE
JF-Expert Member
- Sep 12, 2022
- 10,177
- 16,336
- Thread starter
- #61
Duuuh wewe ushanunua?Black market
Duuuh wewe ushanunua?Black market
Duuuh wewe ushanunua?
Changanya na mo energy ile kubwa....Wakuu,
Sijui natokaje kwenye hii addiction ila alietengeneza hiki kitu hakika ni fundi na amenikamata na sijui ametumia formula gani. Kila nikitumia hua kuna maswaali najiuliza huyu ametumia formula gani?
Haipiti siku namaliza chupa hata 3 mpaka 4.
Addiction.
View attachment 3572328
Unanitakia mema kweli mkuu?Changanya na mo energy ile kubwa....
Mkuu inapunguza addiction kidogoUnanitakia mema kweli mkuu?
Future diabetic patient. Utadunga insulin in mpaka uchakaeEeh sugar nini?
Killing yourself slowlyKweli mkuu ila kuna kitu kimoja wewe unapenda kahawa ila mimi kahawa siiwezi sio kahawa tu hata chai siiwezi labda uniwekee mchaichai ila sio majani ya chai siwezi kabisa huwezi amini, hio ninapenda ladha [flavour] sensation of taste fulani hivi imewekwa humo kwenye hio chupa hio ndio inaniita sio kingine kuna kiladha fulani hivi cha tofauti humo, sasa nikianza kunywa sometimes nafikiria sijui nini yaan ningekua hata na pipa limejaa tu hio mimi kazi yangu ni kuchota na kunywa tu, feelings
Duuuh punguza basi mkuu unanitisha insulin tena?Future diabetic patient. Utadunga insulin in mpaka uchakae
Duuuh kivipi yaan?We nimwanamke eeeh
Duuuh sio kweliMkuu inapunguza addiction kidogo
Nimeanza kupunguza najitahidi kupunguzaUkielewa kwamba unachofanya ni hatari kwa afya yako, lazima utachukua hatua stahiki.
Soma kiwango cha sukari iliyopo kwenye hicho kinywaji, jiulize kama mwili wako unakihitaji au ni kuuendekeza?
Hahaha hapana mkuuNimeona nayemshauri ana ushauri wake kichwani tayari
Tisho langu ndiyo ahueni yako, niko 65+ naongea uzoefu wa maisha yanguDuuuh punguza basi mkuu unanitisha insulin tena?
Usipunguze, bali acha kabisa. Tupa mbaliNimeanza kupunguza najitahidi kupunguza
Kuacha huo ni mtihani mkuuUsipunguze, bali acha kabisa. Tupa mbali
Kweli nimekuelewa sasa nipe mbinu za kuachaTisho langu ndiyo ahueni yako, niko 65+ naongea uzoefu wa maisha yangu