Nimepata addiction

Nimepata addiction

Niliachaga pia almost 7 years but siku hizi nimeanza upya kunywa but situmii nyingine yoyote zaidi ya hio hapo mezani yaan kwanza sielewi zingine ladha tofauti nikitumia naumwa tumbo you see lakini nikinywa hio sisikii sijui tumbo kujaa sijui nini yaan najifeel good kabisa ndio maana imeanza kunitengenezea addiction unajua ukizoea kitu ikifika kila baada ya muda unataka kutumia hio ni addiction correct or not?
Yeah ndiyo hivyo pambana uweze kuacha
 
Wakuu,

Sijui natokaje kwenye hii addiction ila alietengeneza hiki kitu hakika ni fundi na amenikamata na sijui ametumia formula gani. Kila nikitumia hua kuna maswaali najiuliza huyu ametumia formula gani?

Haipiti siku namaliza chupa hata 3 mpaka 4.
Addiction.
View attachment 3572328
Hivi bei ya Figo ni Tsh ngapi Sasa hivi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom