Makamura
JF-Expert Member
- May 19, 2022
- 356
- 550
Hizi namba za 3D imekuwa Ghafla sana kung'olewa, na Jeshi la polisi limesimama imara katika Hili, Ombi langu kwa Jeshi la Polisi ni hili:-
Namba za Ajabu
Mtaani huku kuna namba nyingi ambazo sio rasmi, Nyeusi, Nyeupe na Njano hapo nyuma mlitoaga tamko lakini hizi namba bado zipo na hatujui zinaama gani, Gari ya 2023 ina namba ya mwaka 2003.
Pia kuna hawa maafisa usafirisha almaarufu kama BodaBoda na bajaji unakuta wamekunja plate number haisomeki kirahisi unakuta anakuchubua njiani na unashindwa hata kukariri namba
Ving'ora
Kuna gari nyingi sana ambazo zina Namba za kiraia zina Ving'ora utadhani ni kiongozi mkubwa alafu unakuta ni muhindi mwenye LC 600 yake kaiweka king'ora na hata barabarani wana act kama watu wa Ulinzi na Usalama, Hawa hata traffic hawawapigi mkono je hii ni sahihi? kama sivyo basi itokomezwe, tukianza kuishi khivi taifa litakuwa la watu wanaojiamulia, ikiwa Jeshi la Ulinzi na Usalama lipo Imara na linaweza Shughulikia hili.
Tunawaamini tunaomba hili mkalifanyie kazi
UPDATED: 13 MACHI, 2024
Jeshi la polisi limetoa tamko juu ya swala hili, Mamlaka kweli imesimamia Haki, sasa wale jamaa wa Vingora na gari zao binafsi, mkae mkao
Pia soma SACP. Ramadhan Nga'nzi: Msako utaanza kuwakamata waliokiuka agizo la kuondoa namba za 3D
Namba za Ajabu
Mtaani huku kuna namba nyingi ambazo sio rasmi, Nyeusi, Nyeupe na Njano hapo nyuma mlitoaga tamko lakini hizi namba bado zipo na hatujui zinaama gani, Gari ya 2023 ina namba ya mwaka 2003.
Pia kuna hawa maafisa usafirisha almaarufu kama BodaBoda na bajaji unakuta wamekunja plate number haisomeki kirahisi unakuta anakuchubua njiani na unashindwa hata kukariri namba
Ving'ora
Kuna gari nyingi sana ambazo zina Namba za kiraia zina Ving'ora utadhani ni kiongozi mkubwa alafu unakuta ni muhindi mwenye LC 600 yake kaiweka king'ora na hata barabarani wana act kama watu wa Ulinzi na Usalama, Hawa hata traffic hawawapigi mkono je hii ni sahihi? kama sivyo basi itokomezwe, tukianza kuishi khivi taifa litakuwa la watu wanaojiamulia, ikiwa Jeshi la Ulinzi na Usalama lipo Imara na linaweza Shughulikia hili.
Tunawaamini tunaomba hili mkalifanyie kazi
UPDATED: 13 MACHI, 2024
Jeshi la polisi limetoa tamko juu ya swala hili, Mamlaka kweli imesimamia Haki, sasa wale jamaa wa Vingora na gari zao binafsi, mkae mkao
Pia soma SACP. Ramadhan Nga'nzi: Msako utaanza kuwakamata waliokiuka agizo la kuondoa namba za 3D