Nimeombwa kuwa "Husband for hire"

Nimeombwa kuwa "Husband for hire"

Mwambie hakuna habari ya kuhamishwa kituo cha kazi kwa sababu ya kufuata mwenzi siku hizi
Ataishia kupigwa kengele tu bila kutarajia
Unless mnataka mkulane bila mtongozo
Ataishia kupigwa ?
 
Ukimuoa usisahau na kuandaa talaka kabisaa maana akikuchenjiaaa utatamani urudi njia uliyotekea kwa mama yako
 
Save your energy,siku hizi cheti cha ndoa hakina msaada kiasi hicho kwenye uhamisho.
Azichange tu na kutafuta watu wa kumsaidia.

Mwambie hakuna habari ya kuhamishwa kituo cha kazi kwa sababu ya kufuata mwenzi siku hizi
Ataishia kupigwa kengele tu bila kutarajia
Unless mnataka mkulane bila mtongozo

hiyo sasa hivi ipo kwenye maandishi tu..........

hapo ataambiwa mpaka miaka 3 iishe.
 
Kongosho hata mimi nimeuliza hilo swali lakini sijajibiwa!Je huyo mumewe na huyo mwalimu atajisikiaje mkewe anapofunga ndoa na jamaa mwingine?!

Nilivyoelewa ni kuwa huyu mwalimu hajaolewa,

Anataka afunge ndoa na mtoa mada ili kukwepa hiyo transfer....akisharudi Dar kila mtu aendelee na maisha yake.
 
Last edited by a moderator:
Habari zenu wakuu.

Nina rafiki angu (sio mpenzi, just a friend) mwalimu amepangiwa mkoani halafu porini sana.

Leo kaniomba twende tukafunge ndoa za bomani ili apate cheti akaombe transfer arudishwe Dar (kwa mume wake).

Akishahamishiwa Dar ndoa yetu inavunjika kila mtu na maisha yake.

Naombeni msaada wa kunieleza ndoa za bomani zinakuwaje.

Shukrani kwa msaada.
wewe ni mfanyakazi wa serikali???
 
Yani wewe bullidog hivi hauna mpenz?je huyo mpenzio akisikia unachoktaka kukifanya unadhan atajiskiaje?think before act aisee!
 
Hapana The Boss

Huyu rafiki angu nilimwonea huruma sana alivyopangiwa huko Tabora ndanindani.

Hatuna feelings kabisa.

The easy way kutoka huko ndo hyo suggestion.

Original certificate nitakaa nayo yeye nitampa copy, akishahamishiwa dar naichana na kila mtu anaendelea na maisha yake,
Hakuna fomula ya kuanzisha feelings bana
 
Last edited by a moderator:
Yani wewe bullidog hivi hauna mpenz?je huyo mpenzio akisikia unachoktaka kukifanya unadhan atajiskiaje?think before act aisee!

Sina mpenzi kwa sasa
 
Nilivyoelewa ni kuwa huyu mwalimu hajaolewa,

Anataka afunge ndoa na mtoa mada ili kukwepa hiyo transfer....akisharudi Dar kila mtu aendelee na maisha yake.

Yupo Mkoani halafu kijijini sana, ndo anataka huko ahamishiwe Dar kwa kisingizio cha kumfuata mume, akishafika hapa kila mtu kivyake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom