Ukimaliza kuchani hiyo, ukachane na ile ya bomani ili kufuta ushahidi!
Angalia msimamo uwe huo huo ukigusa kidogo ndoa inakuwa halali.Hapana The Boss
Huyu rafiki angu nilimwonea huruma sana alivyopangiwa huko Tabora ndanindani.
Hatuna feelings kabisa.
The easy way kutoka huko ndo hyo suggestion.
Original certificate nitakaa nayo yeye nitampa copy, akishahamishiwa dar naichana na kila mtu anaendelea na maisha yake,
Mimi nadhani hapo ni kwamba dada ataondoka kijijini kwa kigezo cha kuenda kwa mumewe (mleta uzi). Ndivyo nilivyomuelewa mimi
Hapana The Boss
Huyu rafiki angu nilimwonea huruma sana alivyopangiwa huko Tabora ndanindani.
Hatuna feelings kabisa.
The easy way kutoka huko ndo hyo suggestion.
Original certificate nitakaa nayo yeye nitampa copy, akishahamishiwa dar naichana na kila mtu anaendelea na maisha yake,
Habari zenu wakuu.
Nina rafiki angu (sio mpenzi, just a friend) mwalimu amepangiwa mkoani halafu porini sana.
Leo kaniomba twende tukafunge ndoa za bomani ili apate cheti akaombe transfer arudishwe Dar (kwa mume wake).
Akishahamishiwa Dar ndoa yetu inavunjika kila mtu na maisha yake.
Naombeni msaada wa kunieleza ndoa za bomani zinakuwaje.
Shukrani kwa msaada.
Uhamisho siyo kitu rahisi rahisi namna hiyo...........
ningeweza kutoa ushauri hapa , lakini ushauri wenyewe ni wa kuvunja vunja sheria na utaratibu kiasi kwamba siyo vyema kuuweka hapa.........
Kuchana original siyo solution, nakala itabaki bomani, akiamua kukufix atakufix tu. Atasema wewe ni mumewe, vyeti vilipotea/kuibiwa n.k. ushahidi uko bomani. Akifungua kesi, mtu wa bomani atakuja kuthibitisha hiyo ndoa mahakamani, think before you leap
Inawezekana,ila ni risk kwa huyo mdada,maana akiishapata mwenzi akagundua aliwahi kufunga ndoa italeta shida.Habari zenu wakuu.
Nina rafiki angu (sio mpenzi, just a friend) mwalimu amepangiwa mkoani halafu porini sana.
Leo kaniomba twende tukafunge ndoa za bomani ili apate cheti akaombe transfer arudishwe Dar (kwa mume wake).
Akishahamishiwa Dar ndoa yetu inavunjika kila mtu na maisha yake.
Naombeni msaada wa kunieleza ndoa za bomani zinakuwaje.
Shukrani kwa msaada.