Nimeombwa kuwa "Husband for hire"

Nimeombwa kuwa "Husband for hire"

hii story yakutunga haikaa vizuri,mtunzi kakae tena uje upya....ufunge nae ndoa aende kwa mumewe?????toa bangi hapa
Kweli kabisa mkuu, anatuchanganya mno wala alichokusudia hakieleweki!!!!!!!!!!!!!
 
Mshatoka honeymoon??
Naona nilichelewa kuzamia bia mbili tatu...
 
Mm c kushauri uckubali itakuja kukucost baadae maana hyo ndoa inajulikana kisheria mwaya na watajua kama ume wa mtu
 
Habari zenu wakuu.

Nina rafiki angu (sio mpenzi, just a friend) mwalimu amepangiwa mkoani halafu porini sana.

Leo kaniomba twende tukafunge ndoa za bomani ili apate cheti akaombe transfer arudishwe Dar (kwa mume wake).

Akishahamishiwa Dar ndoa yetu inavunjika kila mtu na maisha yake.

Naombeni msaada wa kunieleza ndoa za bomani zinakuwaje.

Shukrani kwa msaada.
dalili za kuchepuka hizo bomani ipo kila kona ya nchi hii kwa nn usimfate huko huko aliko naisi unawashwa
 
Habari zenu wakuu.

Nina rafiki angu (sio mpenzi, just a friend) mwalimu amepangiwa mkoani halafu porini sana.

Leo kaniomba twende tukafunge ndoa za bomani ili apate cheti akaombe transfer arudishwe Dar (kwa mume wake).

Akishahamishiwa Dar ndoa yetu inavunjika kila mtu na maisha yake.

Naombeni msaada wa kunieleza ndoa za bomani zinakuwaje.

Shukrani kwa msaada.

ndoa za mkataba hazitambuliki Tz.
 
Hapana The Boss

Huyu rafiki angu nilimwonea huruma sana alivyopangiwa huko Tabora ndanindani.

Hatuna feelings kabisa.

The easy way kutoka huko ndo hyo suggestion.

Original certificate nitakaa nayo yeye nitampa copy, akishahamishiwa dar naichana na kila mtu anaendelea na maisha yake,

kwa nini asiolewe na huyo mume wake mkuu?.....hapa pana jambo!?
 
Hapo unakamatishwa mke kiaina,kumbuka hizo ndoa ni halali na zinatambulika kisheria,subiri akugeukE ndo utaisoma namba
 
anaishi peke ake, hana mume wala mchumba
Oh! mkuu nimekuelewa sasa. Ina maana ataomba uhamisho ofisini kwake ya kukufuata wewe mme wake sio? Kama hivo kaka umemuoa huyo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom