Nimeolewa na golikipa nifanyeje?

Nimeolewa na golikipa nifanyeje?

Mimi nina degree moja ila nimeolewa na mtu ambaye ana elimu ya msingi na hana shughuli yoyoye anayojishughulisha hata nimuelimishe vipi kuhusu biashara au kuhusu kwenda kujiendeleza hataki yeye anachotaka nimhudumie vyoote. Na mtu mwenyewe hata mapenzi hana ila anachotaka ni kuheshimiwa kama anapita Obama. Je? Nimuache au niendelee kumvumilia labda Mungu atambadilisha siku za usoni? Nisaidieni wenzangu
Kama yeye ni golikipa wewe hijahidi uwe stricker ili uweze kumfunga vizuri!
 
Tanya
Sasa si uje ujibu maswali ya wadau? Wewe umeomba ushauri, wadau wamekuja kukusaidia afu mwenyewe haupo kujibu......
.... hebu njoo huku Tanya uone jasho linavyowatoka!
 
Last edited by a moderator:
mimi nina degree moja ila nimeolewa na mtu ambaye ana elimu ya msingi na hana shughuli yoyoye anayojishughulisha hata nimuelimishe vipi kuhusu biashara au kuhusu kwenda kujiendeleza hataki yeye anachotaka nimhudumie vyoote. Na mtu mwenyewe hata mapenzi hana ila anachotaka ni kuheshimiwa kama anapita obama. Je? Nimuache au niendelee kumvumilia labda mungu atambadilisha siku za usoni? Nisaidieni wenzangu

ng'ang'ana tu wanaume wa siku hizi hata hatushikiki, ukimtema atamwokota mwenye masters.
 
Was your marriage emergency? ulianza kutambua lini kuwa hana kazi, kabla au baada ya ndoa? Ungekuwa wewe ndo huna kazi usingelaumu kuwa umeolewa na mwenye kazi. Woman, woman! si haki sawa so?
 
hahahahahahahahahaha atabadilika tu, hata Asprin alikuwaga golokipa na nilimvumilia tu mume wangu mpaka alivyopata ya kuwa michuzi wa jf!

. Mke mwenza upo?

Nimekumiss ujue
 
Last edited by a moderator:
Degree Na Mapenzi kuna uhusiano gani hapo??
usimjaji mumeo kwa kigezo cha degree yako....

Mke Bora ni yule, anayemsukuma mumewe kusonga mbele, ukiona mumeo bado hajasonga/hasongi mbele, TAMBUA WAZI, Wewe Ndiyo Mwenye Tatizo, Usisahau Kuwa FOR EVERY SUCCESSFUL MAN, THERE IS A STRONG WOMAN BEHIND HIM.

nitumie namba yako chemba nkipe zawad yako....

nimekuelewa sana
 
Shangaa na wewe. Ningepata fundi wa kumuachisha kazi paw, yaani awe kama briefcase yangu. Hata nikipata safari mkoani ananisindikiza. Yule mganga wa mange kimambi bado yupo?
watu hawashukuru jamani. haaahahhaha,

Hahaha zimo hizo. Mi nna shosti analala njaa hapa mjini, can u believe! She works na anakaa na mama mkwe, mawifi 2 na shemeji mkubwa mzee mmoja. Watoto wa wifize kama 5 hivi na wajukuu 2. Watoto wa kambo wamekuja baada ya ndoa yake 2. Na anawalisha including mume. Mume works na anasema hana hela. So in the end shosti akisema hana hela ya kununua msosi wanalala njaa. Na bado anapigwa na mume na kutukanwa na mama mkwe. Hgal hakai manake orders zinatoka kila kona, na anaambiwa hapa ni kwako. Mwisho wa siku huwa nampitia ofisini kwake, tunakula kmoto 6pm namuacha akalale kwake. Timeshauri, tumetukana tumechoka! Kupanga no kuchagua atii!
Kuna vitu vinaudhi (ila labda ni wivu sababu zombie hajielewi:disapointed:)
Rafiki yangu kaolewa na golikipa, na golikipa kaoa mke wa 2 moa mwingine kwa siri siri, anaenda huko anakaa hata mwaka.
Mke kamtafytia kazi kakataa, anataka kutunzwa

Analalamika weeee, anaokoka weeeee, tukimshauri mara ooh, nimefunga sijui sala gani, mara ni msalaba, mara wanamme wote wasumbufu, mara watoto itakuwaje? Lame excuses.

Mie siku hizi najisemea, degree haina maana hadi uioneshe kwa vitendo



Ha ha ha, umenikumbusha mateja, ...'siku moja tutatoka tu' How? Still a mystry.
 
shossti yangu konnnie una hasiiiiiiiira!kha!
ila kweli wanauzi sana marafiki wa aina hii!
kila siku uuuuuuwih nakufa mimi!njooo jamani!wanangu mimi!uuuuwih sijui nifanyaje!
mwanzo unalia naeee af badae unatamani umtie kerbu moja matata!
 
wakati mnakutana ilikuwaje? acha utoto tanya
 
kweli wewe ni ziro brain! ishakula kwako hivo?
 
we nawe ss unataka c tukusaidiaje? Au haya yametokea baada ya kuolewa?
...beba zigo lako hilo, mnakimbilia kuvaa shela tu hamufikirii ya mbeleni! Poor u!!
 
we nawe ss unataka c tukusaidiaje? Au haya yametokea baada ya kuolewa?
...beba zigo lako hilo, mnakimbilia kuvaa shela tu hamufikirii ya mbeleni! Poor u!!
 
unataka akasome aache kazi yake ya ugolikipa kwani halipwi? na wakati mnaoana alikuwa Waziri wa idara gani? au alikuwa kocha, Ulimpenda akiwa golikipa leo unataka awe mwl, kwani mwanzoni hukuwaona hao wenyekazi mpaka ukaolewa na huyo golikipa? au na wewe ulikuwa mshambuliaji? kwa uwezo wenu wa kufikiri kati yako na yeye inaonyesha mwenzio ndo ana degree wewe ndo std 7.
 
Kaniudhi vidole, vikaamua kutaipu hayo

shossti yangu konnnie una hasiiiiiiiira!kha!
ila kweli wanauzi sana marafiki wa aina hii!
kila siku uuuuuuwih nakufa mimi!njooo jamani!wanangu mimi!uuuuwih sijui nifanyaje!
mwanzo unalia naeee af badae unatamani umtie kerbu moja matata!
 
Back
Top Bottom