Mimi nina degree moja ila nimeolewa na mtu ambaye ana elimu ya msingi na hana shughuli yoyoye anayojishughulisha hata nimuelimishe vipi kuhusu biashara au kuhusu kwenda kujiendeleza hataki yeye anachotaka nimhudumie vyoote. Na mtu mwenyewe hata mapenzi hana ila anachotaka ni kuheshimiwa kama anapita Obama. Je? Nimuache au niendelee kumvumilia labda Mungu atambadilisha siku za usoni? Nisaidieni wenzangu
lakini kwanini sasa hivi? si aliolewa nae akijua ni golikipa sasa kimetokea nini, au ndio tunarudi pale pale "nitambadilisha"?
Kimsingi kosa ni mwanamk maana kama ni kweli inaonesha msichana alikosa options ndo maana akakubali kuolewa na huyo mwanaume..!!!Jamani, wapo wanamme wa aina hi kabisa, anapewa mtaji anaunywea pombe wote.
Afu mke unamsikia 'nina degree'
Wananiudhi hadi basi, nina mfano wa karibu sana.
love is blind
Ha ha ha, mtu asipokuwa na pesa akipatya inakuwa true love?!:smile-big:sio mateja. nimeona stori kadhaa hapa MMU, dada kaolewa na mume lofa baadae mume suddenly kapata very high paying job na kumnunulia mkewe gari/nyumba la mamilioni. stori ikaitwa ''true love''
Degree yako haijakusaidia.
Ila mumeo kaelimika pamoja na darasa lake la saba, akajua achague mke wa aina gani ili ale bata tu.
Abadilike amekuwa kinyonga?
Nina hasira na wewe maana rafiki yangu kaolewa na golikipa, anamtesa kama nini lakini kang'ang'ania tu, mnaudhi kama nini halafu na ushauri hamsikilizi, kazi kulalamika tu kwa matatizo yakujitakia.
Tena, bora aanze kutaka kubebwa mgongoni badala ya kutembea.
........tamaa yako itakuwa juu ya mumeo naye atakutawala!!! umesahau hayo maneno nini? kama ni golikipa mzuri mpeleke Arsenal, wanatafuta golikipa saivi!!
Ulilazimishwa kuolewa na wazazi au uliamua wewe mwenyewe? Vicheche ndo walivyo hapo ujue umeshapata kidume kingine sasa unatafuta mapungufu ya mwenzio. Kwa mfano kwamba yeye la saba umejua leo??
mvumilie, kwani si anabaki nyumbani anapika na kufua?
Degree yako haijakusaidia.
Ila mumeo kaelimika pamoja na darasa lake la saba, akajua achague mke wa aina gani ili ale bata tu.
Abadilike amekuwa kinyonga?
Nina hasira na wewe maana rafiki yangu kaolewa na golikipa, anamtesa kama nini lakini kang'ang'ania tu, mnaudhi kama nini halafu na ushauri hamsikilizi, kazi kulalamika tu kwa matatizo yakujitakia.
Tena, bora aanze kutaka kubebwa mgongoni badala ya kutembea.
Kongosho kwani huyo rafiki yako kaolewa na goalkeeper wa timu gani? Magolkeepers wana lipwa vzr mbona!
Mimi nina degree moja ila nimeolewa na mtu ambaye ana elimu ya msingi na hana shughuli yoyoye anayojishughulisha hata nimuelimishe vipi kuhusu biashara au kuhusu kwenda kujiendeleza hataki yeye anachotaka nimhudumie vyoote. Na mtu mwenyewe hata mapenzi hana ila anachotaka ni kuheshimiwa kama anapita Obama. Je? Nimuache au niendelee kumvumilia labda Mungu atambadilisha siku za usoni? Nisaidieni wenzangu
Mimi nina degree moja ila nimeolewa na mtu ambaye ana elimu ya msingi na hana shughuli yoyoye anayojishughulisha hata nimuelimishe vipi kuhusu biashara au kuhusu kwenda kujiendeleza hataki yeye anachotaka nimhudumie vyoote. Na mtu mwenyewe hata mapenzi hana ila anachotaka ni kuheshimiwa kama anapita Obama. Je? Nimuache au niendelee kumvumilia labda Mungu atambadilisha siku za usoni? Nisaidieni wenzangu
Mie ndio najisemeaga 'mtu anapanda bangi, anataka kuvuna mchicha' How?
Ndio maana yake: Nitambadilisha tu, mwingine alisema, bibi yake alimwambia hadi anioe ndio anafanikiwa.
Mwingine, kasema nikimwacha anajiua