Mimi nina degree moja ila nimeolewa na mtu ambaye ana elimu ya msingi na hana shughuli yoyoye anayojishughulisha hata nimuelimishe vipi kuhusu biashara au kuhusu kwenda kujiendeleza hataki yeye anachotaka nimhudumie vyoote. Na mtu mwenyewe hata mapenzi hana ila anachotaka ni kuheshimiwa kama anapita Obama. Je? Nimuache au niendelee kumvumilia labda Mungu atambadilisha siku za usoni? Nisaidieni wenzangu
Degree yako haijakusaidia.
Ila mumeo kaelimika pamoja na darasa lake la saba, akajua achague mke wa aina gani ili ale bata tu.
Abadilike amekuwa kinyonga?
Nina hasira na wewe maana rafiki yangu kaolewa na golikipa, anamtesa kama nini lakini kang'ang'ania tu, mnaudhi kama nini halafu na ushauri hamsikilizi, kazi kulalamika tu kwa matatizo yakujitakia.
Tena, bora aanze kutaka kubebwa mgongoni badala ya kutembea.
...etii una degree 1?????umeipata lini b4 marriage or after?by the way iweje leo ndio uonyeshe weakness zake??ulilazimishwa kuolewa au ulimwona best yako ameolewa na wewe ukatamani??????Mimi nina degree moja ila nimeolewa na mtu ambaye ana elimu ya msingi na hana shughuli yoyoye anayojishughulisha hata nimuelimishe vipi kuhusu biashara au kuhusu kwenda kujiendeleza hataki yeye anachotaka nimhudumie vyoote. Na mtu mwenyewe hata mapenzi hana ila anachotaka ni kuheshimiwa kama anapita Obama. Je? Nimuache au niendelee kumvumilia labda Mungu atambadilisha siku za usoni? Nisaidieni wenzangu
Kuna vitu vinaudhi (ila labda ni wivu sababu zombie hajielewi:disapointed:)Na akirudi home anamfanyia massage! Mungu ampe nini? Kongosho kaona wivu hapo hehehe.
vumilia atakuja kupata utajiri wa ghafla na kukununulia vitu vya mamilioni
hii story ni ya kutunga tu..logically inapplicable...!!!!
lol, watu mna visa jamani, humuonei huruma mwenzio bado unamtwika jengine? mwenzio anataka kuendelea kumvumilia labda mungu atambadilisha, mhhh kuna watu unakosa cha kuwashauri kabisaaaaaaaa
Mimi nina degree moja ila nimeolewa na mtu ambaye ana elimu ya msingi na hana shughuli yoyoye anayojishughulisha hata nimuelimishe vipi kuhusu biashara au kuhusu kwenda kujiendeleza hataki yeye anachotaka nimhudumie vyoote. Na mtu mwenyewe hata mapenzi hana ila anachotaka ni kuheshimiwa kama anapita Obama. Je? Nimuache au niendelee kumvumilia labda Mungu atambadilisha siku za usoni? Nisaidieni wenzangu
Kuna vitu vinaudhi (ila labda ni wivu sababu zombie hajielewi:disapointed:)
Rafiki yangu kaolewa na golikipa, na golikipa kaoa mke wa 2 moa mwingine kwa siri siri, anaenda huko anakaa hata mwaka.
Mke kamtafytia kazi kakataa, anataka kutunzwa
Analalamika weeee, anaokoka weeeee, tukimshauri mara ooh, nimefunga sijui sala gani, mara ni msalaba, mara wanamme wote wasumbufu, mara watoto itakuwaje? Lame excuses.
Mie siku hizi najisemea, degree haina maana hadi uioneshe kwa vitendo
Ha ha ha, umenikumbusha mateja, ...'siku moja tutatoka tu' How? Still a mystry.
Acha kumdhalilisha mwenzio, kwani swala la ndoa huwa linaangalia kisomo cha mtu? ninavyoona hata kumtambulisha mumeo unaona aibu lkn jingine umeona hapa JF utapata ushauri mzuri wa kunusuru ndoa yenu? umeshafanya yafuatayo?
1. Kuwaona wasimamizi wa ndoa.
2. Kuwaona wazazi wa mume/
3. Kama ni mkristo kuwaona wachungaji
4. Ustawi wa jamii umefika?
Hakuna kitu kibaya kama kukosa maamuzi binafsi, akili za kushikiwa mbaya sana.
love is blindKuna vitu vinaudhi (ila labda ni wivu sababu zombie hajielewi:disapointed:)
Rafiki yangu kaolewa na golikipa, na golikipa kaoa mke wa 2 moa mwingine kwa siri siri, anaenda huko anakaa hata mwaka.
Mke kamtafytia kazi kakataa, anataka kutunzwa
Analalamika weeee, anaokoka weeeee, tukimshauri mara ooh, nimefunga sijui sala gani, mara ni msalaba, mara wanamme wote wasumbufu, mara watoto itakuwaje? Lame excuses.
Mie siku hizi najisemea, degree haina maana hadi uioneshe kwa vitendo
sio mateja. nimeona stori kadhaa hapa MMU, dada kaolewa na mume lofa baadae mume suddenly kapata very high paying job na kumnunulia mkewe gari/nyumba la mamilioni. stori ikaitwa ''true love''Ha ha ha, umenikumbusha mateja, ...'siku moja tutatoka tu' How? Still a mystry.