Nimeolewa na golikipa nifanyeje?

Nimeolewa na golikipa nifanyeje?

Sasa wewe ni uroho wa pesa ndo uliokutumbukiza huko uliko!asome nini wakati amezeeka anajua kichwa chake hakiwezitena kushika!wewe fanya kazi!Digree yako ni yambo yandani zamani primary tuliita sayansi kimu!
 
Ulilazimishwa au na ww uliolewa na miaka nane sasa umekua ndio umegutuka
 
ulishakosea mwanzo kuwa mpole kwa nini hukumchunguza before,
endelea kupiga adake,
 
mvumilie, kwani si anabaki nyumbani anapika na kufua?

Husninyo nadhani amesema huyo husband wake anataka kuheshimiwa kama Obama. Sidhani kama Obama ni mpishi ikulu ya Marekani?
 
Ulikuwa unafikiria nini kuolewa na mtu kama huyu!? asiyetaka kufanya lolote kuboresha maisha yenu!? Sepa haraka sana kabla hujaathirika kiakili.

Mimi nina degree moja ila nimeolewa na mtu ambaye ana elimu ya msingi na hana shughuli yoyoye anayojishughulisha hata nimuelimishe vipi kuhusu biashara au kuhusu kwenda kujiendeleza hataki yeye anachotaka nimhudumie vyoote. Na mtu mwenyewe hata mapenzi hana ila anachotaka ni kuheshimiwa kama anapita Obama. Je? Nimuache au niendelee kumvumilia labda Mungu atambadilisha siku za usoni? Nisaidieni wenzangu
 
sizan kama unastahili kushauriwa kwani mumeo kakukosea nn???
 
Mwanzo wakati mnapendana ilikuwaje........?

Watu kama hawa wanakuwa vigeu geu kisa mafanikio utakuta hako kaelimu kenyewe kaipata kutokana na ada ya huyo jamaa yake. We chunguza alivyoiandika hii post utaelewa ninachokisema.
 
toka mwanzo hukuona hilo au umepata degree mwenzako unaanza kumnyanyapaa mumeo.....kama swala la yeye kutaka kuheshimiwa kama Obama mnaweza kukaa na kulizungumza
 
Mimi nina degree moja ila nimeolewa na mtu ambaye ana elimu ya msingi na hana shughuli yoyoye anayojishughulisha hata nimuelimishe vipi kuhusu biashara au kuhusu kwenda kujiendeleza hataki yeye anachotaka nimhudumie vyoote. Na mtu mwenyewe hata mapenzi hana ila anachotaka ni kuheshimiwa kama anapita Obama. Je? Nimuache au niendelee kumvumilia labda Mungu atambadilisha siku za usoni? Nisaidieni wenzangu
Unahitaji Pole na sio ushauri
 
Husninyo nadhani amesema huyo husband wake anataka kuheshimiwa kama Obama. Sidhani kama Obama ni mpishi ikulu ya Marekani?

mmmmmmmmh, huo ulikuwa mfano tu.
 
Mnumulie glovus ili adake vyema.

Huna adabu mwanamke umekosa jina la maana zaidi ya golikipa
Rubbish
 
we umepata mwenye hela bwana acha hizo. wakati wa uchumba ilikuwaje.

umeolewa au umeoa?
 
Mimi nina degree moja ila nimeolewa na mtu ambaye ana elimu ya msingi na hana shughuli yoyoye anayojishughulisha hata nimuelimishe vipi kuhusu biashara au kuhusu kwenda kujiendeleza hataki yeye anachotaka nimhudumie vyoote. Na mtu mwenyewe hata mapenzi hana ila anachotaka ni kuheshimiwa kama anapita Obama. Je? Nimuache au niendelee kumvumilia labda Mungu atambadilisha siku za usoni? Nisaidieni wenzangu
Ukimuacha si anakushtaki?
Ndoa ni mkataba unaoheshimiwa na mahakama. Ukiuvunja bila sababu ya maana, compensation itahusika.
You better pray that he's dumb like you.... or dumber!, la sivyo utamlipa.
 
Degree Na Mapenzi kuna uhusiano gani hapo??
usimjaji mumeo kwa kigezo cha degree yako....

Mke Bora ni yule, anayemsukuma mumewe kusonga mbele, ukiona mumeo bado hajasonga/hasongi mbele, TAMBUA WAZI, Wewe Ndiyo Mwenye Tatizo, Usisahau Kuwa FOR EVERY SUCCESSFUL MAN, THERE IS A STRONG WOMAN BEHIND HIM.
 
vumilia atakuja kupata utajiri wa ghafla na kukununulia vitu vya mamilioni
 
Back
Top Bottom