RGforever
JF-Expert Member
- Apr 3, 2011
- 6,877
- 5,446
Mwanzo wakati mnapendana ilikuwaje........?
Yaani hawa watu bhana.... kashaolewa ndo analeta matatizo
Mwanzo wakati mnapendana ilikuwaje........?
Pole sana dada, yaani umeniuzunishaje!!! Nasikia Kulia.
Hivi wewe mpaka ukaolewa na golikipa, std seven Ulilogwa?
Kwa nini wanawake hamjitambui jamani, umesomeshwa, una kazi yako ya maana kinachokufanya uamue kujitoa KAFALA ni nini? UMEJILIPUA rafiki. Kukata gani tamaa uko, mpaka haujui unataka nini huku duniani.
Ungekuwa karibu yangu NINGEKULABUA KIBAO.
wakati mnapendana ilikuwaje,usije tegemea hata siku mmoja kuwa huyu atabadilika akisha ingia kwenye ndoa
Unasikia kulia kisa kaolewa na Golikipa kwani alishikiwa MTUTU wa bunduki
kuolewa na huyo Golikipa!!!!!!!!aache kumkashifu huyo mumewe,hapa ndio
nnapomkumbukaga Da Sophy na idea yake kuwa degree haitunzi mume lol!!!!!
Khaaa!!! Kama obama?
fill the blank
halafu aliyajua yote kabla hayaolewa, kwamba jamaa std 7, kwamba jamaa golikipa, na bado akakubali kwa moyo wake mmoja kuolewa nae, leo kimetokea nini tena jamani? mie sijui asaidiwaje huyu.
wakati wanapendana walikuwa vipofu.sasa mapenzi yameisha, yamebaki mazoea na mchezaji kageuka kuwa golikipa.Mwanzo wakati mnapendana ilikuwaje........?
nahisi kapata penzi jipya.anatafuta njia ya kutokea.Unasikia kulia kisa kaolewa na Golikipa kwani alishikiwa MTUTU wa bunduki
kuolewa na huyo Golikipa!!!!!!!!aache kumkashifu huyo mumewe,hapa ndio
nnapomkumbukaga Da Sophy na idea yake kuwa degree haitunzi mume lol!!!!!
wakati wanaoana alikuwa na digrii, sasa kapoteza cheti na kufukuzwa kazi.kabaki na cheti cha darasa la saba tu.Suala la mapenzi hasa kumwacha au kuendelea kuwa naye siyo la kushauriwa, "you should listen to your heart when it comes to matters of love"
One more thing, wakati mnaoana alikuwa anashughulika na nini?
nahisi kapata penzi jipya.anatafuta njia ya kutokea.
na hatimaye kapata option anataka kumsukumia jamaa nje.inawezekana mwanzoni aliolewa kuondoa nuksi, na sasa kampata mume haswa.Kimsingi kosa ni mwanamk maana kama ni kweli inaonesha msichana alikosa options ndo maana akakubali kuolewa na huyo mwanaume..!!!
We niondolee ujinga wako, hivi wakati anakubandua mara ya kwanza na mara nyingine hukulijuwa hilo..???Mimi nina degree moja ila nimeolewa na mtu ambaye ana elimu ya msingi na hana shughuli yoyoye anayojishughulisha hata nimuelimishe vipi kuhusu biashara au kuhusu kwenda kujiendeleza hataki yeye anachotaka nimhudumie vyoote. Na mtu mwenyewe hata mapenzi hana ila anachotaka ni kuheshimiwa kama anapita Obama. Je? Nimuache au niendelee kumvumilia labda Mungu atambadilisha siku za usoni? Nisaidieni wenzangu
Mimi nina degree moja ila nimeolewa na mtu ambaye ana elimu ya msingi na hana shughuli yoyoye anayojishughulisha hata nimuelimishe vipi kuhusu biashara au kuhusu kwenda kujiendeleza hataki yeye anachotaka nimhudumie vyoote. Na mtu mwenyewe hata mapenzi hana ila anachotaka ni kuheshimiwa kama anapita Obama. Je? Nimuache au niendelee kumvumilia labda Mungu atambadilisha siku za usoni? Nisaidieni wenzangu