Mimi nina degree moja ila nimeolewa na mtu ambaye ana elimu ya msingi na hana shughuli yoyoye anayojishughulisha hata nimuelimishe vipi kuhusu biashara au kuhusu kwenda kujiendeleza hataki yeye anachotaka nimhudumie vyoote. Na mtu mwenyewe hata mapenzi hana ila anachotaka ni kuheshimiwa kama anapita Obama. Je? Nimuache au niendelee kumvumilia labda Mungu atambadilisha siku za usoni? Nisaidieni wenzangu
Mimi nina degree moja ila nimeolewa na mtu ambaye ana elimu ya msingi na hana shughuli yoyoye anayojishughulisha hata nimuelimishe vipi kuhusu biashara au kuhusu kwenda kujiendeleza hataki yeye anachotaka nimhudumie vyoote. Na mtu mwenyewe hata mapenzi hana ila anachotaka ni kuheshimiwa kama anapita Obama. Je? Nimuache au niendelee kumvumilia labda Mungu atambadilisha siku za usoni? Nisaidieni wenzangu
Yeye ndiye mwenye degree na wewe ni darasa la saba.
unakosea sana kusema hivyo inamaana mwenye degree asiolewe na std 7?ingekua hivyo bas tena,jiulize wanawake wangapi hawajaenda hata shule na wameolewa na wenye elimu?acha hiyo hulka mbaya tena futa kauli maana mh
Preta!Hakyamama........ unasema kweli.....
Una degree ya kudesa mpaka DS. Kwa hiyo darasa la saba alitakiwa amwoe nani. Au wewe ulitaka uolewe na degree ngapi. Nani kakudanganya kuwa degree inapunguza kipenyo cha K...Mimi nina degree moja ila nimeolewa na mtu ambaye ana elimu ya msingi na hana shughuli yoyoye anayojishughulisha hata nimuelimishe vipi kuhusu biashara au kuhusu kwenda kujiendeleza hataki yeye anachotaka nimhudumie vyoote. Na mtu mwenyewe hata mapenzi hana ila anachotaka ni kuheshimiwa kama anapita Obama. Je? Nimuache au niendelee kumvumilia labda Mungu atambadilisha siku za usoni? Nisaidieni wenzangu
Mimi nina degree moja ila nimeolewa na mtu ambaye ana elimu ya msingi na hana shughuli yoyoye anayojishughulisha hata nimuelimishe vipi kuhusu biashara au kuhusu kwenda kujiendeleza hataki yeye anachotaka nimhudumie vyoote. Na mtu mwenyewe hata mapenzi hana ila anachotaka ni kuheshimiwa kama anapita Obama. Je? Nimuache au niendelee kumvumilia labda Mungu atambadilisha siku za usoni? Nisaidieni wenzangu
Mimi nina degree moja ila nimeolewa na mtu ambaye ana elimu ya msingi na hana shughuli yoyoye anayojishughulisha hata nimuelimishe vipi kuhusu biashara au kuhusu kwenda kujiendeleza hataki yeye anachotaka nimhudumie vyoote. Na mtu mwenyewe hata mapenzi hana ila anachotaka ni kuheshimiwa kama anapita Obama. Je? Nimuache au niendelee kumvumilia labda Mungu atambadilisha siku za usoni? Nisaidieni wenzangu
Mh pole shosty. Ulichokitaka cheti cha ndoa umeshakipata sa unalialia nini? Furahia cheti chako mwaya! Nyie wenye vyeti vya ndoa si mnaonaga ambaye hana hicho cheti mnamuangalia kama nyanya chungu? Ukajitahid kwa udi na uvumba bidada hadi ukavikwa pete na cheti juu! Hongera mamy, kuna wenzio hatuna cheti wala pete lakini mola hajatuacha patupu katujaalia vingine. Nawe umepata hivyo ukakosa vingine, ndio dunia ilivyo hupati vyote mtu mmoja.
Yaani nimeamini "The brain is not an organ to be relied on"Mimi nina degree moja ila nimeolewa na mtu ambaye ana elimu ya msingi na hana shughuli yoyoye anayojishughulisha hata nimuelimishe vipi kuhusu biashara au kuhusu kwenda kujiendeleza hataki yeye anachotaka nimhudumie vyoote. Na mtu mwenyewe hata mapenzi hana ila anachotaka ni kuheshimiwa kama anapita Obama. Je? Nimuache au niendelee kumvumilia labda Mungu atambadilisha siku za usoni? Nisaidieni wenzangu
Mh huu ni ushauri ama dongo? Mpe ushauri afanyeje