Nimeolewa na golikipa nifanyeje?

Nimeolewa na golikipa nifanyeje?

Pole sana, ndiyo shida ya kuolewa na mtu ambaye hamuendani ilikuwaje mpaka ukaolewa na mtu wa namna hiyo?

Muombe Mungu aendee kukupa uvumilivu maana mme huyo ni mzingo katika maisha ya siku hizi.
 
Ushauri ndo huo, atulie na cheti chake cha ndoa ndicho alichojaaliwa tafauti na sie wengine. Mbona mie sikujaaliwa hicho na nimetulia na nilichojaaliwa.

Da Soph mmh cheti kinasaidia nn sasa? Si ni pepa tuu!

Mi nnavyo vi2, naeza kukupa kimoja free ka unataka
 
Shida nyingine ma binti wa kipindi hiki wanapenzoka na maisha ya vyuoni kujifanya wanatoka kwenye familia zenye uwezo na kuwa na tamaa ya kuwa na mahusiano na zaidi ya mwanaume mmoja.

Baada ya kumaliza chuo anajikuta kabaki ni yule aliyekuwa anatoa huduma kwa moyo mmoja ambaye leo anahitwa goalkeeper.

Mvumilie hasa ukizingatia kuwa ulikubali kuolewa kwa hiari yako mwenyewe.
 
Mh pole shosty. Ulichokitaka cheti cha ndoa umeshakipata sa unalialia nini? Furahia cheti chako mwaya! Nyie wenye vyeti vya ndoa si mnaonaga ambaye hana hicho cheti mnamuangalia kama nyanya chungu? Ukajitahid kwa udi na uvumba bidada hadi ukavikwa pete na cheti juu! Hongera mamy, kuna wenzio hatuna cheti wala pete lakini mola hajatuacha patupu katujaalia vingine. Nawe umepata hivyo ukakosa vingine, ndio dunia ilivyo hupati vyote mtu mmoja.

Umeongea ukweli shost
Wanadharau sna wakiona hujavaa hizo pete
 
Mh pole shosty. Ulichokitaka cheti cha ndoa umeshakipata sa unalialia nini? Furahia cheti chako mwaya! Nyie wenye vyeti vya ndoa si mnaonaga ambaye hana hicho cheti mnamuangalia kama nyanya chungu? Ukajitahid kwa udi na uvumba bidada hadi ukavikwa pete na cheti juu! Hongera mamy, kuna wenzio hatuna cheti wala pete lakini mola hajatuacha patupu katujaalia vingine. Nawe umepata hivyo ukakosa vingine, ndio dunia ilivyo hupati vyote mtu mmoja.

Shoga nimekupenda bure,,,,, maneno kuntu!!!!!
 
Da Soph mmh cheti kinasaidia nn sasa? Si ni pepa tuu!

Mi nnavyo vi2, naeza kukupa kimoja free ka unataka

Sitaki cheti cha mtu miye loh! Cha kazi gan? Wenye vyeti ndo hao kutwa kulialia mitandaoni! Mwanamke ana cheti cha digirii, cheti cha ndoa, cheti sijui cha kongamano na semina gani huko. Bado haishi vilio kutwa kuchwa manung'uniko, si ni majanga hayo? Sitaki vyeti.
 
Sitaki cheti cha mtu miye loh! Cha kazi gan? Wenye vyeti ndo hao kutwa kulialia mitandaoni! Mwanamke ana cheti cha digirii, cheti cha ndoa, cheti sijui cha kongamano na semina gani huko. Bado haishi vilio kutwa kuchwa manung'uniko, si ni majanga hayo? Sitaki vyeti.

Basi sikwambii tena, ningekupa cha ndoa uweke frem au lamination
 
Bila shaka alikuwa anakukuna vizuri tu hadi ukaamua uolewe nae au uliolewa/kuoana kwa Nyege.
 
duh hongera sana kwa kuolewa na golikipa , sasa wewe inabidi uwe kiungo mchezeshaji .. nashangaa unalalamika kwani hukulijua toka mwanzo???? watu wengine sijui huwa mnawaza niini, badili ya kuchukua hatua toka awali ulipiga kimy a... sasa walialia nini kama cheti si ndo umepata na CV imeongezeka basi endeleza gemu
 
Tanya golikipa kama "hafungiki" tumia mbinu kama za akina Pele wa Brazil za kulegeza madaluga..
 
Last edited by a moderator:
Tanya, pole kwa kuwa desperate na ndoa hadi kufikia hatua ya kuolewa na mtu asiye wa chaguo lako na wala wa aina yako.Dawa ya mtu kama huyo, wee endelea kumtunza, ila njoo kwangu nikupe mimba lazima umpelekee watoto wa nje, ndio njia pekee ya kumkomesha.
Mimi nina degree moja ila nimeolewa na mtu ambaye ana elimu ya msingi na hana shughuli yoyoye anayojishughulisha hata nimuelimishe vipi kuhusu biashara au kuhusu kwenda kujiendeleza hataki yeye anachotaka nimhudumie vyoote. Na mtu mwenyewe hata mapenzi hana ila anachotaka ni kuheshimiwa kama anapita Obama. Je? Nimuache au niendelee kumvumilia labda Mungu atambadilisha siku za usoni? Nisaidieni wenzangu
 
Last edited by a moderator:
Mimi nina degree moja ila nimeolewa na mtu ambaye ana elimu ya msingi na hana shughuli yoyoye anayojishughulisha hata nimuelimishe vipi kuhusu biashara au kuhusu kwenda kujiendeleza hataki yeye anachotaka nimhudumie vyoote. Na mtu mwenyewe hata mapenzi hana ila anachotaka ni kuheshimiwa kama anapita Obama. Je? Nimuache au niendelee kumvumilia labda Mungu atambadilisha siku za usoni? Nisaidieni wenzangu

una degree ya nini???

mbona umezidiwa akili na mtu mdogo sana?

nampa big up sana kijana, kama kaweza kung'oa mpododo wenye mdegree wake!!!

hongera sana kijana!
 
Tanya, pole kwa kuwa desperate na ndoa hadi kufikia hatua ya kuolewa na mtu asiye wa chaguo lako na wala wa aina yako.Dawa ya mtu kama huyo, wee endelea kumtunza, ila njoo kwangu nikupe mimba lazima umpelekee watoto wa nje, ndio njia pekee ya kumkomesha.

aliyekwambia huyo si chaguo lake la moyo ni nani??

tatizo la Tanya ni kwamba mshikaji kagoma kutafuta menyu!

sasa Tanya nae anasema asiyefanya kazi na asile (kimoyomoyo lakini), lakini sasa anaogopa kumwambia mshikaji!

sasa wewe unaona nani mwenye degree hapo? Tanya au mume wake?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom