Wanaume tuna wivu wa ajabu Sana
Nikuhakikishie TU
Huyo mzazi mwenzie yupo Hapa mjini
Na anajua kila kinachoendelea na mzazi mwenzie, sema kwasababu yupo yupo TU anateseka na dunia, jamaa anajikausha.
Ila kwasababu kaskia umemuoa,
ataibuka kwa Kasi ili kurudisha majeshi na mzazi mwenzie
Na sio anarudisha majeshi kwasababu anampenda Sana binti, Bali kukuonesha kua yeye Ni jemedari alikutangulia na anaweza kukuchapia kirahisi.
Lengo amharibie binti mahusiwno ili arudi Tena kweye msoto.
Na wanawake walivo dhaifu kwenye hili, Lazima TU Atanasa ktk mtego huu.
Na Hapo ndo kilio na majuto yako vitaanzia.
Sikutishi,
ila nakwambia ukweli,
Ili ujipange kisaikolojia Kama kweli unampenda uyo binti na umedhamiria
