Nimeoa single mama

Nimeoa single mama

Wanaume tuna wivu wa ajabu Sana

Nikuhakikishie TU
Huyo mzazi mwenzie yupo Hapa mjini
Na anajua kila kinachoendelea na mzazi mwenzie, sema kwasababu yupo yupo TU anateseka na dunia, jamaa anajikausha.

Ila kwasababu kaskia umemuoa,
ataibuka kwa Kasi ili kurudisha majeshi na mzazi mwenzie

Na sio anarudisha majeshi kwasababu anampenda Sana binti, Bali kukuonesha kua yeye Ni jemedari alikutangulia na anaweza kukuchapia kirahisi.
Lengo amharibie binti mahusiwno ili arudi Tena kweye msoto.

Na wanawake walivo dhaifu kwenye hili, Lazima TU Atanasa ktk mtego huu.

Na Hapo ndo kilio na majuto yako vitaanzia.

Sikutishi,
ila nakwambia ukweli,
Ili ujipange kisaikolojia Kama kweli unampenda uyo binti na umedhamiria
Kama jamaa anajua kusoma na kuelewa, basi aelewe hiki ulichoandika. Jamaa yupo, uwezekano wa kuchapa ni 100% coz anajua mzazi mwenzake keshaolewa, atakitokeza ili tu amuonyeshe kuwa yeye ni kidume na ndio wa kwanza, ili tu aharibu mawasiliano ya mzazi mwenzake na jamaa. Bitter truth!!
 
Huyu nae muoaji chenga tuu ni bora angemchukua huyu mtoto akamlea tuu hakuna shida yeyote tena angekuwa amemuwin mama yake asilimia mia! Mwanamke akitaka kukitembeza atakitembeza tuu wala si mpaka amtafute aliyezaa nae.....

I bet hawa lazima washindwane mapema na huyu ni mwanamke wa ajabu sana yani mtoto wa miaka miwili unamuacha kisa kukimbilia ndoa....
Baba wa mtoto anawacheki tu anajisemea hihihiii bagosha!!
 
Habarini wakuu,

Wiki hii nimeoa single mom, mtoto wake ana miaka 2 tangu azae jamaa alikimbia na hajulikani alipo hadi sasa hakutoa hata mia kwenye malezi ya mtoto, alisaidiwa kulea mtoto na mama yake, mtoto kamuacha kwao na mimi sitaki kuishi na huyo mtoto wake na yeye ashalikubali hilo maana tangu uchumba wetu wa mwaka mmoja, nishamwambiaga sitokaa na mtoto wako.

Ananipenda sana tena ile sana sijawahi kupendwa kama hivi kwa huu umri wangu wa 29 years nimewaacha wengi sana nimeamua yeye kumuoa nimeona hatasumbua kwa chochote maana ni mpole na msikivu sana.

Nimekuja tu humu kuwapa hiyo taarifa na kuja kuona mnaniusia wosia gani, kwa hiyo karibuni kwa maoni ya jinsi ya kuishi nae, na vitu gani nijitahadhari navyo, ushauri wowote pia unaruhusiwa na chochote ulichonacho cha kuniambia hata kiwe kibaya sawa tu karibu sana.
siku akirudi baba mmoja toka safari ya mbali ndio utajua ulikuwa hujui. Ila nakutakia kila la kheri, msimu wa embe kula embe.
 
Habarini wakuu,

Wiki hii nimeoa single mom, mtoto wake ana miaka 2 tangu azae jamaa alikimbia na hajulikani alipo hadi sasa hakutoa hata mia kwenye malezi ya mtoto, alisaidiwa kulea mtoto na mama yake, mtoto kamuacha kwao na mimi sitaki kuishi na huyo mtoto wake na yeye ashalikubali hilo maana tangu uchumba wetu wa mwaka mmoja, nishamwambiaga sitokaa na mtoto wako.

Ananipenda sana tena ile sana sijawahi kupendwa kama hivi kwa huu umri wangu wa 29 years nimewaacha wengi sana nimeamua yeye kumuoa nimeona hatasumbua kwa chochote maana ni mpole na msikivu sana.

Nimekuja tu humu kuwapa hiyo taarifa na kuja kuona mnaniusia wosia gani, kwa hiyo karibuni kwa maoni ya jinsi ya kuishi nae, na vitu gani nijitahadhari navyo, ushauri wowote pia unaruhusiwa na chochote ulichonacho cha kuniambia hata kiwe kibaya sawa tu karibu sana.

Kwahio ndoige unaona fresh mtoto wa 2yrs akae bila mama au sio
 
Kama jamaa anajua kusoma na kuelewa, basi aelewe hiki ulichoandika. Jamaa yupo, uwezekano wa kuchapa ni 100% coz anajua mzazi mwenzake keshaolewa, atakitokeza ili tu amuonyeshe kuwa yeye ni kidume na ndio wa kwanza, ili tu aharibu mawasiliano ya mzazi mwenzake na jamaa. Bitter truth!!
Kabisa,
Kuna Jamaa baada ya kuskia mzaz mwenzie kaolewa na kajengewa nyumba.

Akarudisha mazoea kwa kasi mpk anaenda kwa jamaa, anakaa kabisa seblen.

Kisingizio Ni eti kaja kumuangalia mtoto, alieoa ikabd asitishe kutoa matumiz maana Ile Ni dharau anafanyiwa ndani ya nyumba yake.

Mahusiano yakavurugika,
Kisha jamaa akaingia Tena mitini.

Sahv binti anahaha ananisumbua nimbembelezee ili kurudisha mahusiano na jamaa.
 
Wanyama kama Simba, huua watoto wa dume jingine na kuanzisha ufalme wao
 
Siwezi na sitakuja weza kuishi na mtu akithubutu au kutamka au nikhisi anabagua mtoto wangu
Mtoto wangu kwanza
We hako katoto kanakupunguzia nin na watazaliwa ndugu zake hapo,ukishaamua kitu amua
Ukipenda boga penda na ua lake
Dina Dina haya ni matokeo ya vikao vidogo vya awali ..Kikao kikubwa kikija hiyo ndoa tunaivunjilia mbali mbaki na watoto wenu😛
 
Kabisa,
Kuna Jamaa baada ya kuskia mzaz mwenzie kaolewa na kajengewa nyumba.

Akarudisha mazoea kwa kasi mpk anaenda kwa jamaa, anakaa kabisa seblen.

Kisingizio Ni eti kaja kumuangalia mtoto, alieoa ikabd asitishe kutoa matumiz maana Ile Ni dharau anafanyiwa ndani ya nyumba yake.

Mahusiano yakavurugika,
Kisha jamaa akaingia Tena mitini.

Sahv binti anahaha ananisumbua nimbembelezee ili kurudisha mahusiano na jamaa.
Bidada angekua mkali, huyo bwana wa zamani kumuona mtoto akamuone kwa kina bibi ila home kwa jamaa/mume marufuku kukanyaga.Wengi hawarudi kwa wema wanakuaga na yao.
 
Kabisa,
Kuna Jamaa baada ya kuskia mzaz mwenzie kaolewa na kajengewa nyumba.

Akarudisha mazoea kwa kasi mpk anaenda kwa jamaa, anakaa kabisa seblen.

Kisingizio Ni eti kaja kumuangalia mtoto, alieoa ikabd asitishe kutoa matumiz maana Ile Ni dharau anafanyiwa ndani ya nyumba yake.

Mahusiano yakavurugika,
Kisha jamaa akaingia Tena mitini.

Sahv binti anahaha ananisumbua nimbembelezee ili kurudisha mahusiano na jamaa.

Hiyo ni dharau na haitakiwii kabisa
 
Duuh huyo single mom sijui ana akili Gani,,Yani nikatae kukaa na mwanangu kisa ndoa hapana kwakweli. Mtoto ana tahamani yake mume pia ana thamani yake
Mwanamke ukiolewa kama unawatoto inabidi uwapeleke kwa bibi yao ili wewe ukaanze maisha mapya na mume mpya, kwasababu mume wako mpya hataweza kulea watoto wa mwanaume mwingine na huyo mwanaume yupo hai.
 
Habarini wakuu,

Wiki hii nimeoa single mom, mtoto wake ana miaka 2 tangu azae jamaa alikimbia na hajulikani alipo hadi sasa hakutoa hata mia kwenye malezi ya mtoto, alisaidiwa kulea mtoto na mama yake, mtoto kamuacha kwao na mimi sitaki kuishi na huyo mtoto wake na yeye ashalikubali hilo maana tangu uchumba wetu wa mwaka mmoja, nishamwambiaga sitokaa na mtoto wako.

Ananipenda sana tena ile sana sijawahi kupendwa kama hivi kwa huu umri wangu wa 29 years nimewaacha wengi sana nimeamua yeye kumuoa nimeona hatasumbua kwa chochote maana ni mpole na msikivu sana.

Nimekuja tu humu kuwapa hiyo taarifa na kuja kuona mnaniusia wosia gani, kwa hiyo karibuni kwa maoni ya jinsi ya kuishi nae, na vitu gani nijitahadhari navyo, ushauri wowote pia unaruhusiwa na chochote ulichonacho cha kuniambia hata kiwe kibaya sawa tu karibu sana.
Kijana mbona bado unanafasi ya kuoa mabinti wabichi kabisa kwanini unamuoa huyo single mother tena ana mtoto wa miaka miwili. Vijana wengi wa mijini wabachangamoto sana ya kupata wake ambao hawajazalishwa.
 
Habarini wakuu,

Wiki hii nimeoa single mom, mtoto wake ana miaka 2 tangu azae jamaa alikimbia na hajulikani alipo hadi sasa hakutoa hata mia kwenye malezi ya mtoto, alisaidiwa kulea mtoto na mama yake, mtoto kamuacha kwao na mimi sitaki kuishi na huyo mtoto wake na yeye ashalikubali hilo maana tangu uchumba wetu wa mwaka mmoja, nishamwambiaga sitokaa na mtoto wako.

Ananipenda sana tena ile sana sijawahi kupendwa kama hivi kwa huu umri wangu wa 29 years nimewaacha wengi sana nimeamua yeye kumuoa nimeona hatasumbua kwa chochote maana ni mpole na msikivu sana.

Nimekuja tu humu kuwapa hiyo taarifa na kuja kuona mnaniusia wosia gani, kwa hiyo karibuni kwa maoni ya jinsi ya kuishi nae, na vitu gani nijitahadhari navyo, ushauri wowote pia unaruhusiwa na chochote ulichonacho cha kuniambia hata kiwe kibaya sawa tu karibu sana.
Chukua mtoto wewe mama apate utulivu
 
Habarini wakuu,

Wiki hii nimeoa single mom, mtoto wake ana miaka 2 tangu azae jamaa alikimbia na hajulikani alipo hadi sasa hakutoa hata mia kwenye malezi ya mtoto, alisaidiwa kulea mtoto na mama yake, mtoto kamuacha kwao na mimi sitaki kuishi na huyo mtoto wake na yeye ashalikubali hilo maana tangu uchumba wetu wa mwaka mmoja, nishamwambiaga sitokaa na mtoto wako.

Ananipenda sana tena ile sana sijawahi kupendwa kama hivi kwa huu umri wangu wa 29 years nimewaacha wengi sana nimeamua yeye kumuoa nimeona hatasumbua kwa chochote maana ni mpole na msikivu sana.

Nimekuja tu humu kuwapa hiyo taarifa na kuja kuona mnaniusia wosia gani, kwa hiyo karibuni kwa maoni ya jinsi ya kuishi nae, na vitu gani nijitahadhari navyo, ushauri wowote pia unaruhusiwa na chochote ulichonacho cha kuniambia hata kiwe kibaya sawa tu karibu sana.
Like seriaz umependa K yake tu, mtoto tupa Kule. Ni suala la muda tu lazima usaidiwe k baba mtoto akianza toa matumiz
 
Kama jamaa anajua kusoma na kuelewa, basi aelewe hiki ulichoandika. Jamaa yupo, uwezekano wa kuchapa ni 100% coz anajua mzazi mwenzake keshaolewa, atakitokeza ili tu amuonyeshe kuwa yeye ni kidume na ndio wa kwanza, ili tu aharibu mawasiliano ya mzazi mwenzake na jamaa. Bitter truth!!
Ukiona mwanamke ana mtoto mdogo, baba wa mtoto yupo halafu anakimbilia kuolewa huyo ana matatizo. Ama anamkomoa mzazi mwenzake au anatafuta pakujishikiza.
 
Back
Top Bottom