shibela
JF-Expert Member
- Jul 3, 2018
- 3,794
- 13,474
Kiu ikatike wapi?😎😎😎Akikukula kilokole utakata kiu....?!
Sasa kajamaa kanafanya huku kanamkemea shetani,hakuna cha dirty talks,kakipiga tackle mbili waleteee,kanakuambia mama amka tumshukuru Mungu wakati huo wewe ndo kwanza gari inaanza kuwaka😀😀😀😀😀
(Just a joke,jamani sijawahi date mlokole ni imagination tu)