verify
JF-Expert Member
- Dec 31, 2024
- 1,295
- 3,087
Ushaanza kula chumvi nyingi šUpevi huu, ni mazuriš¤£
Ushaanza kula chumvi nyingi šUpevi huu, ni mazuriš¤£
Duu nilipigwa kwenye money Ila nikazinduka japo nilichelewaFicha hela zako atakua anachukua hela na chakula ndani anampelekea mchungaji.
Sasa usiombe uwe unavaa namba 1 ya kiatu na mchungaji, mabuti yako yote atayapeleka.
Acha tu uzee huušš¾Ushaanza kula chumvi nyingi š
Akikukula kilokole utakata kiu....?!Raha Yao mkioana anakukula kilokole haina kukamianaš¤š¤š¤
nikiwa kidato cha sita mpenzi niliyekuwa naye wakati huo alikuwa anaelekea kwenye itikadi hizo za kijinga jinga, nashukuru niliweza kuachana naye mapema,nahisi ningepata naye shida baadae.Wanawaita dady!!
Utasikia nilipitia kwa dady baada ya kutoka kwenye maombiš¤š¤š¤
Colossians 3:18wewe uko na matatizo! sii Bure
KUMCHA MUNGU NI CHANZO CHA MAARIFA. mithali 1:7
Sasa itakuaje namim ni mrokoreHata wanaume wa kilokole bure kabisa!
šMlokole wa kushinda kanisani hawezi kuolewa na "Mtu wa mataifa".
Mrokore unamjua daddy?šSasa itakuaje namim ni mrokore
Ndio huyo mimi sasa nikipata stress nakunywa fanta orange 70Mrokoke unamjua daddy?š
Mungu gani kawanini umche huoni huyo Mungu ni dhaifuwewe uko na matatizo! sii Bure
KUMCHA MUNGU NI CHANZO CHA MAARIFA. mithali 1:7
Woiiiš¤£Ndio huyo mimi sasa nikipata stress nakunywa fanta orange 70
AMINA. usimwamini mleta mada. mtu yeyote aliyeokoka huwa ana MAARIFA, hawezi kuwa na tabia kama alivyosema mleta mada.Colossians 3:18
[18]
Ninyi wake, watiini waume zenu, kama ipendezavyo katika Bwana.