The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,080
Nilikwambia 500 haiwezi kukutosha Cafebahati nzuri hela yake ya cafe imeisha, keshapotea.
Kam umeishatoka kwa Mtogole sawa hamna tatizo ili mradi umeacha matumizi ya yule binti mimi sina wasiwasiankal uschafue CV bana! si unaona Keren Happuch amelejea. Ukifuja mbele ya Keren Happuch itakula kwako ujue, nina faili zako zote za tandale.
bahati nzuri hela yake ya cafe imeisha, keshapotea.
Nilikwambia 500 haiwezi kukutosha Cafe
Acha nianze hiyo kazi mara moja, lakini wasiwasi wangu nisije na mimi nikanasa kama wewe, ha ha ha, sijui tutaangaliana vipi usoni, tutaanza visa vyote ikiwa ni pamoja nawizi wa kura teh teh teh!!!
nisaidie kwa pm lakini sio hadharani hapa usije ukabadili hali ya hewa halafu mtoto blackberry akageukia kwako
Soma Zaburi:23 watakuzimikiaMweh mbona watu hawanizimikiii ngoja niende kwa babu Loliondo
Soma Zaburi:23 watakuzimikia
Nitakuja kuanzia saa 3 usiku tutaanza kwa kukemea mapepoTatizo kusoma sijui njoo nisaidie mwaya :love:
Watu wanazimia avatar...hawajui nini kilichopo nyuma ya avatar....
Toka apendwe Dena basi wapendaji mmeanza kuibuka kama wagawa vikombe wa bongo, hebu tusaidie kaka hebu tuambie sababu za kumzimia mtu usiyemjua kwa lolote isipokuwa maandishi na avartar, maana hujatoa sababu, toa sababu ili uweze kupata public opinion unayoitarajia. Ningependa kusikia opinion yako kwanza.
Yours faithfully, lukansola
Looking forward to hearing from you soon.
hehehe unakusudia kusema kwamba jamaa anajitongoza mwenyewe?. dah! fafanuaHalafu inawezekana wewe ndio blackberi.
Ankal naelekea tandale na manzese kuonana na fidel nimwambiejehehehe unakusudia kusema kwamba jamaa anajitongoza mwenyewe?. dah! fafanua