Nimemuongezea ulinzi mchumba wangu

Nimemuongezea ulinzi mchumba wangu

Umejitahid kupata koments nyingi, ujitahidi tena kuanzisha uzi mwingine huu utakapoisha muda.
 
ndiyo maana nimekwambia nina last option ambayo naifanyia implementation leo usiku, hii nitatumia nguvu za giza. Nikikukosa kwenye option 1 to 4, basi nakukamata kwenye ile ya 5.

Hachomoki mtu aisee!!
Dah nimecheka sana lakini nikupe pongezi kwa muda ulio invest kuhakikisha papuchi inabaki safe.
 
Nadhani unatafuta kifo cha presha ya kujitakia kila lakheri mkuu
 
Duh!!!!

Wewe utakufa kabla ya siku zako, tena haufai sababu akili yako yote tangu asubuhi hadi unaingia kulala unakaa unafikiria nani anataka kula mchumba ako.

Kwa hiyo haufai kuwa hata mume, mwanaume gani haujiamini na hauna trust hata kiduchu.

Mwanaume kama wewe hafai kabisa, mimi nikikumbana na mwanaume kama wewe ni piga buti hukoooo maana wa kama wewe akili ya kusaka pesa utakuwa unawaza papwuchwi tu na mwili wa mwanamke. Hata kujiangalia hakuna na kujipenda. Tena labda kuchepuka wa hivyo atakuwa namba mojaaaaa
 
Madogo Kama hawa ndo huwa wanajizuru!!!! Msaidieni ndugu yenu jaman, Ni Mtanzania mwenzetu.... Na uhakika hata wadada hapa wanasema huyu naye katoka wapi..... Mwanamke Ni Habari nyingine ndugu zangu.

Umeongea vizuri mkuu...some painful truth!!
 
NITAFUTE NIKUELIMISHE JINSI YA KUMLINDA MPENZI WAKO NI SMS INBOX,AWE WA KIUME AU WA KIKE NITAKUSAIDIA,UNAONA KILA KITU ANACHOFANYA KTK SIMU YAKE
 
Sasa hapo umemlinda yy au umeilinda simu yake?
Hizo tunamalizaga tu bila sms wala calls
Ukitaka kulinda mwekee mlinz wa kike awe anamfata kila sehemu anazoenda
 
Wewe Fuso,kama una kazi basi utaiharubu,kama una biashara basi ndio mwanzo wa kufilisika,mwanamke akitaka kufanya uchafu wake atafanya na wewe utakalia unalinda maji yasivuje kwenye pakacha,huyo mwanamke wa KI DOT COM,anajua yoote kuhusu tracking system,si ajabu anakuachia tu kwa muda huu wa uchumba ili akufanye umuamini,lakini itakapofika anataka mkwaju mwingine basi kama sio yeye hata huyo mchepuko wake atamfundisha jinsi ya kucheza na gadgets,hapo utajikuta unajiaminisha kwamba mke wangu ni nambari one nimebarikiwa,kumbe ngoma inapigwa kinoma.Kwa kuwa wanawake ni wengi kuliko wanaume,wewe mwambie wazi kuwa huchungi mwanamke,na ikitokea dalili mbaya nakupiga chini na naoa mwanamke mwingine,mwambie kwa kiapo thabiti,hata kama amezaa watoto kumi anaachwa tu.

Maneno kuntu mkuu! Ila sina uhakika na umri wa mleta uzi...
 
Back
Top Bottom