Nimemuongezea ulinzi mchumba wangu

Nimemuongezea ulinzi mchumba wangu

Mmh ngumu hii!
Ngumu gani na wewe?,wewe unampa mtu miadi ya kukutana,halafu hautokei,unasababisha mtu anakaa kibarazani ana[igwa baridi na kuumwa na mbu mpaka korodani zimebadilika rangi na kuwa za bluu na malaria juu,halafu unasema ngumu hii daah ama kweli mademu mna roho mbaya,kisa tu mimi muuza karanga?.
 
Dah.. Ngoja nirudie biashara Yangu ya urembo na kusafisha miguu
 
Mlinde kwa kumuongeza bajeti
Dar kama wewe HAUNA Motokali basi mchumba wako ataliwa tu na mwenye gari akiamua
 
Ngumu gani na wewe?,wewe unampa mtu miadi ya kukutana,halafu hautokei,unasababisha mtu anakaa kibarazani ana[igwa baridi na kuumwa na mbu mpaka korodani zimebadilika rangi na kuwa za bluu na malaria juu,halafu unasema ngumu hii daah ama kweli mademu mna roho mbaya,kisa tu mimi muuza karanga?.
Kheee!
 
KAMA ULIMKUTA HANA BIKRA ULINZI HAUNA MAANA MKUU
Kweli kabisa...sasa sijui unakuwa unalinda nini kama mtu hujamkuta bikra...maana yake ulikubali kushare na kupitia walipopita wenzako na kuacha mikojo kibao...kujipa tu msongo wa mawazo....
 
Kweli kabisa...sasa sijui unakuwa unalinda nini kama mtu hujamkuta bikra...maana yake ulikubali kushare na kupitia walipopita wenzako na kuacha mikojo kibao...kujipa tu msongo wa mawazo....

kabisa utalindaje kiporo hahahaha waachie waliobahatika kuzinyaka bikra tuzilinde ndoa zetu muruaaaaa UKIOA BIKRA UNAJIAMINI
 
Yaani kama ulikuwepo akilini mwangu...wakulindwa ni bikra tuu. Hawa ambao mileage kubwa wala hujisumbui...ata wakigegeda hawaibandui hiyo papuchi.

UJUE WALIO OA WAKE ZA WATU WALIOBIKIRIWA WANAISHI KWA PRESHA kama hujaoa ni mpenzi hana bikra piga chini
stress za nini mtu aliyeshindwa kujilinda NDOA ATAHESHIMU VIPI HUYO labda abakwe wengi ni hiari yao
MAPENZI KABLA YA NDOA MNAWASUMBUA WANAUME ZENU
 
Yaaani nilivyoona post nikadhani mhusika atasema, nimemnunulia usafiri wake na kumfungulia biashara yake. Ulinzi muongezee kipato na penzi. Huko kwingine unajichosha tu kijana.
 
Utakujaga kujifia kwa kihoro kwa wivu wako, binadamu siyo wa kuchunga kama mbuzi
 
Back
Top Bottom