Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,099
- 136,709
Ooh najuuuta kuukosa Uzi huo
Nawe unataka nikumege tena?
Ooh najuuuta kuukosa Uzi huo
asee ulipotea kidogo humu jukwaani na picha zako relevant kwa kila mada.
Spidi yako kali sana bana...Nawe unataka nikumege tena?
Spidi yako kali sana bana...
Sijui ni kwa hisani ya michembe! Magoli yako noma sanaSasa Vale...mi na huu ukibabu wangu spidi yangu kali kivipi?
Sijui ni kwa hisani ya michembe! Magoli yako noma sana
Bwana angu halii hovyo. AnanijuliaNgoja nawe bwana'ako akuone unachati chati na mimi hapa halafu aje kulia.
Bwana angu halii hovyo. Ananijulia
Naomba nikuconsult tafadhali.Mwanamke alindwi, let's say it's 20% by 80%..... 80% aamue mwenyewe kujilinda. Wakati nasoma chuo kuna Mzee mmoja tajiri kweli alikuwa na mke mzuri anampa kila kitu na kumwamini balaa, Siku moja katoka, ajanipigia niende nikachukue gari kwake nimsaidie kazi, nikakuta mke wake kabamizwa ukutani na mtoto wa jirani wa form two, Shemeji yangu kalalama huyo, nikamwambia sitasema wala usijali, mpaka Leo Ni Siri yangu wala Yule Mzee ajui, ukimwambia mke wake analiwa hamtaelewana, nikapata somo nikasonga. Mwanamke bwana is something else, anaweza Tembe hata na toyo buy ambaye humuwazii!!!! Kama unabisha na uko tayari Ni pm Mimi nitakuelekeza namna ya kuhakikisha Weza analiwa au Vipi, Nina ka program nilikanunua India kanafukunyua simu balaa hata Kama text zimefutwa, kwa mtu ordinary mtumiaji wa simu utamshika tu.
Ameitika....Oh haya...msalimie..
Nikuongezee ulinzi dear?Sijui ni kwa hisani ya michembe! Magoli yako noma sana