Nimemuongezea ulinzi mchumba wangu

Nimemuongezea ulinzi mchumba wangu

jealous.jpg
asee ulipotea kidogo humu jukwaani na picha zako relevant kwa kila mada.
 
Ur demanding perfection from her,, wewe uko perfect? Omba Mungu atulize moyo wako
 
linda baba usikatishwe tamaa na mafisi ya humu,ni mwanaume bwege peke yake anaeacha kumlinda mke wake,na hawa wanaopinga humu utakuta hadi toilet wanasindikiza wanawake zao,wige mi namlinda vizuri tu.
 
Teh teh mlinde tu mkuu. Hata bila mawasiliano akiamua kuchepuka anachepuka vizuri tu.
Mbinu zipo kibao. Hata akikuachia simu yake ukae nayo mwaka mzima kama ni mchepukaji atatimiza tu. Hongera lakini kazi unayo!
 
Mwanamke alindwi, let's say it's 20% by 80%..... 80% aamue mwenyewe kujilinda. Wakati nasoma chuo kuna Mzee mmoja tajiri kweli alikuwa na mke mzuri anampa kila kitu na kumwamini balaa, Siku moja katoka, ajanipigia niende nikachukue gari kwake nimsaidie kazi, nikakuta mke wake kabamizwa ukutani na mtoto wa jirani wa form two, Shemeji yangu kalalama huyo, nikamwambia sitasema wala usijali, mpaka Leo Ni Siri yangu wala Yule Mzee ajui, ukimwambia mke wake analiwa hamtaelewana, nikapata somo nikasonga. Mwanamke bwana is something else, anaweza Tembe hata na toyo buy ambaye humuwazii!!!! Kama unabisha na uko tayari Ni pm Mimi nitakuelekeza namna ya kuhakikisha Weza analiwa au Vipi, Nina ka program nilikanunua India kanafukunyua simu balaa hata Kama text zimefutwa, kwa mtu ordinary mtumiaji wa simu utamshika tu.
Naomba nikuconsult tafadhali.
 
Mleta mada ukitaka kuwekeza kwenye mapenzi, dishi litayumba mda sio mrefu! Haya mambo kizungu zungu sana.
 
Back
Top Bottom