Nimemuongezea ulinzi mchumba wangu

Nimemuongezea ulinzi mchumba wangu

Kumlinda mpenzi wako ni sawa na kulinda bahari... utalinda kigamboni huku bagamoyo watu wanavua
inaonekana wewe ni bigwa wa kukwepa ulinzi wa mpz wako....ndio.maana uansema hivyo.
 
jealous.jpg
Hahaaaa hiyo kali!
 
Ww ukumbuki kuwa kile kitendo kinachukua dakika chache tu, sasa ww unalinda masaa 24 au unalinda kama askar jibu?
 
Wengine wanakuwa wanalaini moja ya kufanyia mambo yao ww utaganda whatsap kumbe mtu yupo laini nyingne a nfanya yake, kumlinda mwanamke labda umfungie track kila akiguswa huku ww unajuwa yupo wapi cio kutrack cm yake
 
Sawa fuso nashukuru nitahakikisha sifanyi naye mawasiliano ya simu tena...sasa itakuwa live au kuandikiana barua
 
Bado hujaeleza jinsi gani unamlinda katika swala zima la kumaliza ashki zake!!!!
 
Nakuonea huruma sana kwani utamuacha duniani siku si nyingi Kwa ugonjwa wa presha ya kupanda then majemedali wewe wanajilia kiulaini kabisa kwenye kitanda chako.
 
Ya tano bado naifanyia kazi - hii nawasiliana ma mtalaam wangu ili tuone namna nzuri ya kuifanyia implementation bila kumtelea madhala makubwa sana mdokozi wa mali za watu kwa kutumia nguvu za.


Duuh, hapo sawa kwa hii namba tano kweli njemba umejipanga kweli kweli maana nilikuwa nakuja kukuuliza vipi your ma wife to be akionana na jamaa bila kupitia simu wala social media..! Umetisha kinyama..
 
Atakuwa anagegedwa na bubu ambae hatumii hayo mataka taka yote uliyo orodhesha
 
Back
Top Bottom