Nimemuonea huruma mume wangu baada ya kukagua simu yake

Status
Not open for further replies.
Hujaoa - nyamaza tu. Umeoa na mkeo hajawahi kucheat-nyamaza. Umeoa na ulishamfuma mkeo kacheat, karibu tuwape vijana uzoefu!

nilimkamata wangu nikaprove kwake na aliyekuwa anamgida nikampa adhabu aliyochagua mbele ya mke wangu. Mke wangu bado ninaye ila kidonda bado kipo moyoni. Sababu za kutomwacha:
1. Nami nilikuwa mchepukaji na alinieleza alikuwa analipa kisasi,
2. Aliomba msamaha;
3. Umri
4. Kutokana na namba 4 hapo juu, niliogopa kuanza maisha mapya na mwanamke mwingine
you have very shallow mindset
 
Kanuni ni hii.
Tiba ya usaliti ni kisasi.
Ndio ndio, ndio maana sisi wazaramo tumefundwa mafiga matatu, hutukuti tunalalamika, kwanza kukagua simu ya mume mwikooo...ukaguzi tutaukuta mbinguni, ndo ataposhaa ulikuwa pro zaidi yake.
 
Katika kagua kagua simu nimekutana na msg ya mchepuko anakumbushia ile biashara aliyoambiwa aaangalie kama itafaa afunguliwe biashara tayari mbona kama mume amenyamaza? Jibu la mume ni kwamba "Tutaongea mama".

Nilipata ka mshtuko na ka hasira kidogo lakini baadae nikaingiwa na huruma sana nikimuangalia mume wangu.

He is so good kwetu mimi na watoto yaani hakuna kitu tuombe asitimize. Ila huruma imenijia kwa sbb ana majukumu mazito mbele yake kwa sasa na huyu mchepuko hajui anawaza hela ya biashara.

Na kuhusu kumwambia nimepanga nimwambie yeye aendelee na mambo yake hela ni zake bwana ila chonde chonde asiniletee magonjwa as kwangu mimi nimetulia na najiamini kwa asilimia 100.

Na kupambana eti na mchepuko sijui kupambana na mume siwezi kisasi ni cha Mungu. Halafu kwa nature ya wanaume walivyo ntagombana na wangapi. Au mnasemaje wadau?

Mie ninamuonea sana huruma maskini unakuta anawaza familia kumbe kuna ka mchepuko kanampa stress tena naogopa kasije kakamroga akatusahau, Nifanyeje?
 
Shida ni kwamba wanawake type yako wanapatikana GOOGLE tu

ukija in real life huku kwenye maisha yenyewe ya mahusiano na ndoa

kumpata wa aina yako nadhani tusubiri Kontena jipya ataloliumba Mungu ktk dunia ijayo...
 
Yani Mimi nikichefukwa nafanya maamuzi magumu Tena nikishakuwa na watoto ndo haswa hamu na mtu mhuni inakufa kabisa, Mimi siwezi unafiki kitu kikinichefua to the maximum nafanya maamuzi na sirudii nyuma, tunaolewa tuzae Sasa nimezaa mzima kwanini mtu akwaze roho yangu woooi.
Afu sasa watu wa hivi ndo wanaolewa sasa.
 
Ndio ndio, ndio maana sisi wazaramo tumefundwa mafiga matatu, hutukuti tunalalamika, kwanza kukagua simu ya mume mwikooo...ukaguzi tutaukuta mbinguni, ndo ataposhaa ulikuwa pro zaidi yake.
nimecheka sana mie lol.
 
Yani Mimi nikichefukwa nafanya maamuzi magumu Tena nikishakuwa na watoto ndo haswa hamu na mtu mhuni inakufa kabisa, Mimi siwezi unafiki kitu kikinichefua to the maximum nafanya maamuzi na sirudii nyuma, tunaolewa tuzae Sasa nimezaa mzima kwanini mtu akwaze roho yangu woooi.
Pole kuna under 20 siku hizi wanawinda sana wanaume wenye 30hado 45yrs sababu wako vizuri mfukoni pia hawajachoka kitandani.
Na havina matumizi makubwa, ungekuwa mke wangu nakupiga matukio mpaka uombe po mwenyewe
 
Pole kuna under 20 siku hizi wanawinda sana wanaume wenye 30hado 45yrs sababu wako vizuri mfukoni pia hawajachoka kitandani.
Na havina matumizi makubwa, ungekuwa mke wangu nakupiga matukio mpaka uombe po mwenyewe
Dah na Mimi ningekukomosha kabla ya kunipiga hayo matukio mkuu. Mie mtu akinifanyia ukorofi ajiandae kwa vitu vyovyote aisee
 
Halooo, unamuonea huruma??
Ningekuwa mimi kwenye hiyo nafasi yako sijui ingekuwaje yaani. Vile ningeliamsha dudeee.
Mind you anakupa kila kitu ambacho unahitaji na wewe unamfurahia.
Ukimvuruga utakuja kulalamika hapa kuwa mumeo hatimizi majukumu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom