Binti Magufuli
JF-Expert Member
- Apr 2, 2011
- 7,479
- 5,160
Mwenyewe unajiona mjaanjaa kukwepa 29...K kumbe hata sio dili.
kumbe na wewe huwa unakutana na wa aina hii???!!! mara ya mwisho kusoma post yako mahali fulani ulisema we huwa unakutana na wanawake wastaarabu,wenye heshima tu.
cc: Matola
Hamna kitu kinacho nikera kama umemtoa out kwa mara ya kwanza ana agiza kuku 2 moja anasema Mama yake anapenda sana kuku so anamfungia!
Mara 3 imenitokea hii
madem wa bongo wahajui kitu kinaitwa kusplit the bill...yaani inakula kwako mkuu ...sasa angalia mtoto Wa kike metabolism ya mwili ndogo unakula kuku mzma utadhani umetoka kubeba zege
Je wewe ni buzi maana mabuzi ndo huwa yanafanyiwa hivyo
Hiyo papuchi ya bao moja laki inawaka taa kwa ndani pamoja na ac..au unakula humo humo kwenye papuchi...??
Labda.........Kwa vile ume zoea vya rahisi huwezi jua nenda Casino za kueleweka uka kutane na malaya wa kimataifa!
Hapana mm ni mwanamme ninaye jitambua dada ila nakiri yule dada wa Mburahati alinizidi maarifa!!
Usiseme rahisi ndugu dada...wengine bajeti zetu ni za kuunga unga........Kuku wawili wazima plus Heineken elfu 29 mbona bei rahisi sana
Basi Mwenzio alikuja Kuchuna a.k.a kukomeshea. Au amevijulia hotelini amekulia chokest.Binadam mwenye akili huwezi pewa ofa uagize kuku mzima, kabab, urojo, bia, na zile nakadhalika zingine bado takeaway. Huo Ni ulafi.
Na nyie muwe mnaangalia wanawake wa kutongoza
Usiseme rahisi ndugu dada...wengine bajeti zetu ni za kuunga unga........
Ukikwangalia ni mrembo sana kwa kweli kaumbika!Nilikutana nae uwanja wa Taifa Yanga na Simba!
Hapo nimesahau kutaja mayai 2 na chokistiki maana pia aliagiza ehehehehehe
Nahisi imetia pilipili kuongeza ukali. Haiwezekani
Kama kuna mtu hapa kawahi Date msichana chokoraa atakuja kuleta ushahidi wake!
Nina rafiki yangu yy date ya kwanza kaja na rafiki yake,dada zake 2;mjomba,binam na wote wamekuja na bajaji tofauti jamaa anaombwa nauli kutoka Gongo la mboto hadi kwenye miadi Sinza ehhehehe!
Kwenye nauli tu hela yote aliyokuja nayo ikawa kama imeisha jamaa ikabidi aanzishe fujo!
Huku Uswazi date tunaziogopa sana dada maana bi gharama sana sababu madada wengi kama wanakomoa
ndio.........na wewe bajeti ni ya kuunga unga
ndio.........
Mbona me sielewi,hiyo sehemu ni ya bei nafuu..!!? Wastani wa kuku 1 tsh 10000/= bado mnasema bei rahisi? Hapa nilipo mm,kuku mzima ni elf 6. Hata hivyo umalaya una gharama sana,elf 29 bado watu wanaziona ndogo!? Km hali ndo hii wanaume wataendelea kuonekana wana roho mbaya kwa wazazi na ndugu kila kukicha!!!Hapo kaenda kwa bei rahisi kakimbia, je akienda zile sehemu viwango itakuwaje mana hiyo 29,000 ni bei ya maji bado chakula na vinywaji.