Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,053
- 6,328
Hapo wenzio hiyo 29000 iongezwe sifuri moja hata hatushtuki na kesho tumoo
Uchumi kamwe haufanani
Hapo wenzio hiyo 29000 iongezwe sifuri moja hata hatushtuki na kesho tumoo
Jana nimeondokai na kumwanchia dada moja ambaye alikuja kwenye appointment na rafiki yake bilakunishirikisha,nilishangaa kila mmoja anaagiza kuku mzima! na Henken.
Nilikuwa na Pesa za kutosha nikasema sawa,but baada ya rafiki yangu kuja na kutusalimia na kuondoka alini text na kunitonya kuwa hao mademu wa Changombe ndio zao,mie nikajifanya naenda kutuma pesa, nikaondoka mpaka Home yaani haraka haraka bill ilikuwa kama 29000/=.
ah haha hahaaahahaa.......i never take JF serious, utatukana sana monitor na kutoa sugu kwenye vidole vyako kupitia keyboard hadi ukomeMkome nyinyi wenye hela za nawazo, mxeeeeeeew kama alijijua Hana hela alimuitia nn sehemu yenyewe aliyowapeleka ya bei rahisi na imemshinda.
Hadi nimeona aibu Mwanaume unakimbia bill 29000 kweli???????
nimecheka sana!ishantokea longi mporipori mmoja kajitia hashuo za kuntoa out,nkajiendea zangu pembeni nna kiji akiba changu kufika kule nkaagiza akashtuka"hee mi sina hela hapa nna ela ya chips tu"
nkacheka kwa dharau nkamwambia ntajilipia usijali akanywea nywiii na tulivyotoka pale hakunifata tenaa na ujanja mfukoni wote
hvyo ht mdada aliemuacha alikua na akiba yake mfukoni zaid kajitia aibu t
maana outing na hunijui sikujui shuti mdada uwe na ht kijibuku ten
Japo siwezi kwenda kwenye appointment ya mpenzi wangu na rafiki yangu ila hapo kwenye bili imebidi nicheke. Eti umekimbia bill ya sh 29000 au? Nikitoka out nina hela yangu pengine kuzidi hata alinayo mpenzi wangu.
ah haha hahaaahahaa.......i never take JF serious, utatukana sana monitor na kutoa sugu kwenye vidole vyako kupitia keyboard hadi ukome
nimecheka sana!ishantokea longi mporipori mmoja kajitia hashuo za kuntoa out,nkajiendea zangu pembeni nna kiji akiba changu kufika kule nkaagiza akashtuka"hee mi sina hela hapa nna ela ya chips tu"
nkacheka kwa dharau nkamwambia ntajilipia usijali akanywea nywiii na tulivyotoka pale hakunifata tenaa na ujanja mfukoni wote
hvyo ht mdada aliemuacha alikua na akiba yake mfukoni zaid kajitia aibu t
maana outing na hunijui sikujui shuti mdada uwe na ht kijibuku ten
mlikuwa wapi huko bei rahisi hivi??!!! kuku wawili na heineken bill 29,000! na bado umekimbia! kwani ulikuwa na bei gani mfukoni,30,000? siku ingine jiandae hata wakija watano
Mbona hiyo bili ya tshs.29,000 ni ndogo sana. Acha ubahili wako.
pole zao wadada wenzangu. maskini unatolewa na under age unategemea nn?
na sehemu wanazopelekwa ni zalau tupu.
ni bora utoke mara moja kwa mwaka malaika ili mradi tu uthaminike. poleee yao
​haya endelea kucheza mdundiko basiAliyekwambia anaichukulia serious nani????? Wengine sie wachangamsha genge tu.
​haya endelea kucheza mdundiko basi
mlikuwa wapi huko bei rahisi hivi??!!! kuku wawili na heineken bill 29,000! na bado umekimbia! kwani ulikuwa na bei gani mfukoni,30,000? siku ingine jiandae hata wakija watano
na genge linaendelea kushangilia, maisha yanasongaHilo la kuuliza na kanga kiunoni nimefunga...