Nimemtongoza mwanangu hapa JF bila kujua

Nimemtongoza mwanangu hapa JF bila kujua

Heshima mbele wakuu..

Katika hali ambayo sikuitarajia na kwa kutumia ID nyingine hapa JF nimejikuta namtongoza mtoto wa kaka yangu bila kufahamu.

Ishu ilikuwa hivi, niliweka mada ya mapenzi ambayo ilivuta hisia za watu wengi sana, na kupata wachangiaji zaidi ya 900, ile mada kiukweli ilinionesha jinsi nilivyo mjuvi wa mambo.. Sasa nikaanza kupokea pm kutoka kwa watu mbalimbali, wengine ndo ka ivo wakajileta taratibu. Ikabidi nianze kuchagua, nikakutana na mtoto flani (sitamtaja jina) maarufu sana hapa JF, ana kiingereza kizuri sana na anajiamni mno.. Nikamtupia maneno yetu, kwa siku tatu tu ikaeleweka. Likaja swala la kubadilishana namba za simu, akanipa yeye yake. Ile naandika tu kwenye simu na kuipiga.... laaah haulaaaaaaa... MWANANGU...!!!!!

Niliishiwa pozi, na maneno yote ya kimapenzi niliyochat nae.. asee nilichoka.

Mpaka leo nimempotezea na ile ID siitumii tena.

Kula tu baba, mali zako hizo
 
We ungeendelea tu hadi mwisho ugegede.....lakin usiuzingatie sana ushauri wangu maana nimeutoa huku nikiwa nimelewa
 
hvi kumbe ukiandika thread ya mapenzi hapa wanawake wanakuja wenyewe pm, hebu tuambie hiyo thread na sisi tudese, maana hayo "maujuzi" uliyomwaga kwenye thread tu mpaka wanawake wanalegea na kukutongoza si mchezo!
:spit::spit:
 
Wengine wamepeana mimba, hawa wametongozana ndugu. Tumebaki mi na wewe tu kwenda huko PM haha

tehe tehe tehe tehe tehe kabisa pm zetu hatujui kuzitumia ipazavyo za wengine zishazaa matunda
 
Hivi kwa nini mnatongoza tongoza ovyo??
Umeamua kutuburudisha
 
Mhh na badooo..mtatongoza mpaka wake zenuu twice...!
 
Back
Top Bottom