Heshima mbele wakuu..
Katika hali ambayo sikuitarajia na kwa kutumia ID nyingine hapa JF nimejikuta namtongoza mtoto wa kaka yangu bila kufahamu.
Ishu ilikuwa hivi, niliweka mada ya mapenzi ambayo ilivuta hisia za watu wengi sana, na kupata wachangiaji zaidi ya 900, ile mada kiukweli ilinionesha jinsi nilivyo mjuvi wa mambo.. Sasa nikaanza kupokea pm kutoka kwa watu mbalimbali, wengine ndo ka ivo wakajileta taratibu. Ikabidi nianze kuchagua, nikakutana na mtoto flani (sitamtaja jina) maarufu sana hapa JF, ana kiingereza kizuri sana na anajiamni mno.. Nikamtupia maneno yetu, kwa siku tatu tu ikaeleweka. Likaja swala la kubadilishana namba za simu, akanipa yeye yake. Ile naandika tu kwenye simu na kuipiga.... laaah haulaaaaaaa... MWANANGU...!!!!!
Niliishiwa pozi, na maneno yote ya kimapenzi niliyochat nae.. asee nilichoka.
Mpaka leo nimempotezea na ile ID siitumii tena.
Ndio mkome kutongoza tongoza
kwi kwi kwi movie imeishia pabaya,mngemeet lodge ndo ingenoga!!!!
Aiseee Leo sijafanya kazi kabisa dah ngoja niuze tu hii sim khaa!!
tehe tehe tehe tehe tehe hapo ndio picha la kihindi lingekuwa linaanza
Heshima mbele wakuu..
Katika hali ambayo sikuitarajia na kwa kutumia ID nyingine hapa JF nimejikuta namtongoza mtoto wa kaka yangu bila kufahamu.
Ishu ilikuwa hivi, niliweka mada ya mapenzi ambayo ilivuta hisia za watu wengi sana, na kupata wachangiaji zaidi ya 900, ile mada kiukweli ilinionesha jinsi nilivyo mjuvi wa mambo.. Sasa nikaanza kupokea pm kutoka kwa watu mbalimbali, wengine ndo ka ivo wakajileta taratibu. Ikabidi nianze kuchagua, nikakutana na mtoto flani (sitamtaja jina) maarufu sana hapa JF, ana kiingereza kizuri sana na anajiamni mno.. Nikamtupia maneno yetu, kwa siku tatu tu ikaeleweka. Likaja swala la kubadilishana namba za simu, akanipa yeye yake. Ile naandika tu kwenye simu na kuipiga.... laaah haulaaaaaaa... MWANANGU...!!!!!
Niliishiwa pozi, na maneno yote ya kimapenzi niliyochat nae.. asee nilichoka.
Mpaka leo nimempotezea na ile ID siitumii tena.
Baba kilaza
Haya we cheka tu, na wewe yatakufika.Badala ya kumpa pole mwenzio!
mie tangia 2010 sijawahi pata pm ya mdada...Kinachotisha ni huyo 'mpwa' alivyo mwepesi kutoa namba za simu kwa strangers.
Yaani ka thread tu, unaweza pata wachumba humu ee?!
Amazing!
leo itabidi nipate vidonge vya kumeza nahisi hadi kichwa kinaniuma kwa niliyoyasoma JF