Nimemtongoza mwanangu hapa JF bila kujua

Nimemtongoza mwanangu hapa JF bila kujua

Mkuu unge mgegeda tu si wana sema duniani walianza Adam na Eva sasa tuliongezekaje kama hatukugegedana na dada zetu???
 
Heshima mbele wakuu..

Katika hali ambayo sikuitarajia na kwa kutumia ID nyingine hapa JF nimejikuta namtongoza mtoto wa kaka yangu bila kufahamu.

Ishu ilikuwa hivi, niliweka mada ya mapenzi ambayo ilivuta hisia za watu wengi sana, na kupata wachangiaji zaidi ya 900, ile mada kiukweli ilinionesha jinsi nilivyo mjuvi wa mambo.. Sasa nikaanza kupokea pm kutoka kwa watu mbalimbali, wengine ndo ka ivo wakajileta taratibu. Ikabidi nianze kuchagua, nikakutana na mtoto flani (sitamtaja jina) maarufu sana hapa JF, ana kiingereza kizuri sana na anajiamni mno.. Nikamtupia maneno yetu, kwa siku tatu tu ikaeleweka. Likaja swala la kubadilishana namba za simu, akanipa yeye yake. Ile naandika tu kwenye simu na kuipiga.... laaah haulaaaaaaa... MWANANGU...!!!!!

Niliishiwa pozi, na maneno yote ya kimapenzi niliyochat nae.. asee nilichoka.

Mpaka leo nimempotezea na ile ID siitumii tena.

Baba kilaza
 
Kumbe ndo njia ya kupata mademu hapa jf, nami ntakuja na yangu..
 
Mkuu pole na najua ameshasoma post yako atakufata home mmalizane.
 
Heshima mbele wakuu..

Katika hali ambayo sikuitarajia na kwa kutumia ID nyingine hapa JF nimejikuta namtongoza mtoto wa kaka yangu bila kufahamu.

Ishu ilikuwa hivi, niliweka mada ya mapenzi ambayo ilivuta hisia za watu wengi sana, na kupata wachangiaji zaidi ya 900, ile mada kiukweli ilinionesha jinsi nilivyo mjuvi wa mambo.. Sasa nikaanza kupokea pm kutoka kwa watu mbalimbali, wengine ndo ka ivo wakajileta taratibu. Ikabidi nianze kuchagua, nikakutana na mtoto flani (sitamtaja jina) maarufu sana hapa JF, ana kiingereza kizuri sana na anajiamni mno.. Nikamtupia maneno yetu, kwa siku tatu tu ikaeleweka. Likaja swala la kubadilishana namba za simu, akanipa yeye yake. Ile naandika tu kwenye simu na kuipiga.... laaah haulaaaaaaa... MWANANGU...!!!!!

Niliishiwa pozi, na maneno yote ya kimapenzi niliyochat nae.. asee nilichoka.

Mpaka leo nimempotezea na ile ID siitumii tena.

umekula ng'ombe mzima mkia unakushinda ?? Nenda uKamalizane nae ww heb acha ujinga. Hahahaha Lol
 
Baba kilaza

Tena kilaza kweli akishindwa kumkamua huyo binti. kitu chuchu 6 O'clock umuache aende hvi hvi ??? masihara hayo ww. Hahahaha kama ni 18+ years. Unafumua tu, kwan kitu gan. Hahahahahaha
 
Hizi fictions na kutafuta attentions kwa nguvu. Huna lolote mwongo mkubwa wewe!
 
Kinachotisha ni huyo 'mpwa' alivyo mwepesi kutoa namba za simu kwa strangers.

Yaani ka thread tu, unaweza pata wachumba humu ee?!

Amazing!
mie tangia 2010 sijawahi pata pm ya mdada...
wadada naomben pm zenu nami nionje tam ya jf
 
leo itabidi nipate vidonge vya kumeza nahisi hadi kichwa kinaniuma kwa niliyoyasoma JF

Wengine wamepeana mimba, hawa wametongozana ndugu. Tumebaki mi na wewe tu kwenda huko PM haha
 
Back
Top Bottom