Nimemtongoza mwanangu hapa JF bila kujua

Nimemtongoza mwanangu hapa JF bila kujua

I never put fiction here.. All i post is fact.. to my surprise my post dropped into 'chit chat' forum..
 
hahaha... ajuwi

Sasa nenda kamuulize kwanini hajui? wakati mama'ke Yesu aleyhi Salaam mnamchora na hijab, na wale ma sister wa kanisani sijawahi waona bila hijab.

Sasa mama'ko kwa kuwa hajui hijab, mfundishe avae kama mama'ke mungu Yesu, halafu uanze kumvua yeye.
 
why are you having multiple id? what are you hiding?
 
Sasa nenda kamuulize kwanini hajui? wakati mama'ke Yesu aleyhi Salaam mnamchora na hijab, na wale ma sister wa kanisani sijawahi waona bila hijab.

Sasa mama'ko kwa kuwa hajui hijab, mfundishe avae kama mama'ke mungu Yesu, halafu uanze kumvua yeye.
hahahahaaaaa... hoja dhaifu, unafikiri upo kwenye mhadhara wa ubungo hapa? hata hajui dini ni nini, ntamuelezaje? njoo basi unisaidie.

btw, i really wanna see what's hidden inside your hijab.. mmmhhhhh!! must be so good..
 
hahahahaaaaa... hoja dhaifu, unafikiri upo kwenye mhadhara wa ubungo hapa? hata hajui dini ni nini, ntamuelezaje? njoo basi unisaidie.

btw, i really wanna see what's hidden inside your hijab.. mmmhhhhh!! must be so good..

Ikiwa mama'ko aliyekuzaa huwezi kumueleza maana ya hijab, kama unaijuwa, utaweza kumueleza nani zaidi.

Kamwambie baba'ko amuelezee ni nini maana ya hijab, nnashaka kama unamjuwa baba'ko ni nani. Kwa maandiko yako tu humu, hilo ni wazi kabisa.
 
Aaaa acha hizo wewe,kwani sisi wanaume wa mitandaoni tumepoteza haki hiyo? ubaguzi wa kijinsia huo EVE. Lol!
humu mnaniingiza kingi tu, nawatongoza nawahonga weee siku ya kukutana nakutana na kibushuti mshantia loss sana nyie....
 
Back
Top Bottom