gemmanuel265
JF-Expert Member
- Feb 16, 2016
- 8,485
- 18,053
Hahahaha kwani nani asiyetaki vizuri, kila mtu anataka vinono, na vinono huwezi kuvipata ukijiweka upo upo tu, hii pia iko kwa wanawakeBaba yuko more romantic, na nyinyi mlio na watoto wa kiume msijipende sana mkajiweka kama age ya watoto wenu basi.
Sasaje!!Hivi kweli na mnamshauri mwenzenu amchukue baba mtu kweliii haha haya
Hapo patam muelewe kwanza ndo kwanza ametambulishwa anajiwekaje apo?baba kama anapesa jiweke kwake loh
Haya ushauri umetoa jiandae kutoa mwingine akiharibikiwaSasaje!!
Anaharibikiwaje kwa baba? Utu uzima dawa.Haya ushauri umetoa jiandae kutoa mwingine akiharibikiwa
Sio ghafla hivyo duh bola awapotezee kwanza khaaBaba itakuwa ana pesa, jiweke kwa baba kijana aelewe tu kuwa wewe ni mama yake mdogo.
Mkuu story zako kama za HR 666, vp yule jamaa hajakualika ukamsalimie mama yake tu?, Na yule mwenye kazi ya kuwaremba celebrities vp? Au father bado anapata heart attackHabari za J5 wapendwa
Huyu kijana tulifahamiana miaka miwili iliyopita, wiki iliyopita alinikaribisha nyumbani kwao nikamuone baba yake. Nimefika nyumbani baba alituandalia vizuri sana, baba anaishi peke yake na chakula aliomba kipikwe na caterer. Nimevutiwa Zaidi na ucheshi wa baba kuliko huyu rafiki yangu sasa jinsi ya kuswitch hapa ni shughuli.
Huyu rafiki yangu alizaliwa wakati baba yake akiwa mwanafunzi, na baba aliendelea na shule mtoto akiwa kwa mama yake. Miaka mingi ilipita mpaka baba kumaliza elimu, mama alishaolewa hivyo rafiki yangu alikuja kulelewa na baba akiwa teenager, baba alikuja kuoa lakini mke alishatangulia mbele za haki. Baba na mtoto wamepishana umri kama miaka 20 hivi, na baba ni wa kileo kiaina sasa hapa niko njia ya panda, kuwapotezea wote maana yake huyu rafiki yangu hatanielewa akisikia niko na mdingi wake.
Huyu rafiki hatujafikia kula tunda la katikati, lakini kwa mzee nimeishiwa kabisa. Ushauri jamani.
Ukiwa dakika za majeruhi unaweka mitego mitatu/minne mkuu, hii ya mtego mmoja ndiyo imenifikisha hapa nilipo.Mkuu story zako kama za HR 666, vp yule jamaa hajakualika ukamsalimie mama yake tu?, Na yule mwenye kazi ya kuwaremba celebrities vp? Au father bado anapata heart attack
Namii najiula apa sijambo jepesi hawajui tu wanaweza kumhamisha mtu nchi.Hivi kweli na mnamshauri mwenzenu amchukue baba mtu kweliii haha haya