mahabaWacha wee.
Hivi hao wanokupa hela wewe unawapa nini in return?
Tunasemaga chambua kama karangamdingi kakudatishaeee
Hivi ulizaliwa na hela wewe, siku ukifa utadai hela ya lambi lambi wakupe uende nayo kaburini ohooo!!mahaba
kama zitabebeka itaenda nazo.. tafuta hela ule utamuHivi ulizaliwa na hela wewe, siku ukifa utadai hela ya lambi lambi wakupe uende nayo kaburini ohooo!!
Aisee aisee aiseemahaba
Mkuu huyo kwenye avatar ndio wwUwe unawapa wote maana kila mtu anautundu wake. Sioni sababu yoyote ya kuwabania hao makamanda!
we natumia kwa matumizi maalumu tuAisee aisee aisee
wameshaichakaza kabisa
Mwalimu wetu chuoni alipenda kusema haka kamsemo "Soma Ule" SUkama zitabebeka itaenda nazo.. tafuta hela ule utamu
Baba anapesa na ni good looking kuliko mtoto.
Habari za J5 wapendwa
Huyu kijana tulifahamiana miaka miwili iliyopita, wiki iliyopita alinikaribisha nyumbani kwao nikamuone baba yake. Nimefika nyumbani baba alituandalia vizuri sana, baba anaishi peke yake na chakula aliomba kipikwe na caterer. Nimevutiwa Zaidi na ucheshi wa baba kuliko huyu rafiki yangu sasa jinsi ya kuswitch hapa ni shughuli.
Huyu rafiki yangu alizaliwa wakati baba yake akiwa mwanafunzi, na baba aliendelea na shule mtoto akiwa kwa mama yake. Miaka mingi ilipita mpaka baba kumaliza elimu, mama alishaolewa hivyo rafiki yangu alikuja kulelewa na baba akiwa teenager, baba alikuja kuoa lakini mke alishatangulia mbele za haki. Baba na mtoto wamepishana umri kama miaka 20 hivi, na baba ni wa kileo kiaina sasa hapa niko njia ya panda, kuwapotezea wote maana yake huyu rafiki yangu hatanielewa akisikia niko na mdingi wake.
Huyu rafiki hatujafikia kula tunda la katikati, lakini kwa mzee nimeishiwa kabisa. Ushauri jamani.
sijaelewa su ndiyo nini?Mwalimu wetu chuoni alipenda kusema haka kamsemo "Soma Ule" SU
Hili zito siku zote Unakula Kuku na mayai yake ila naona leo Yai linataka kula kuku.
Du asante mkuu, lakini bado ninapigana na nafsi hapa.Kesho kutwa ukikutana na rafiki ya baba wa huyo rafiki yako na kum-perceive kuwa ni more good-looking zaidi ya huyo mzee basi utataka kuhama tena.
Kuwa mtulivu na huyo mtoto. Kama mtoto ni wa baba basi ubaba humo ndani ya mtoto.
Wacha wewe natumia kwa matumizi maalumu tu
Mkuu nitakuletea taarifa kwa sasa niko njia ya panda sielewi nipite kulia au kushoto. Ninadhani nitawapoteze wote iwe rahisi kwangu pia.Kwahiyo ndiyo kusema kuwa hata hapo ulipo sasa hivi umeshajipizia kabla hata huyo Baba hajakubandua na Mkuyenge wake?
haya nitakuja aise sasa hiviWacha we
Basi ukishawapuna uje kwangu mana nina hela hadi nafutia majasho