Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,380
- 56,078
aiseehh!aanze kukuita mamdogo..!!!Baba anapesa na ni good looking kuliko mtoto.
haya mkubalie baba
aiseehh!aanze kukuita mamdogo..!!!Baba anapesa na ni good looking kuliko mtoto.
Hahahahahhh siyo fix Mkuu.Hahaaaaa acha fix bos nyie watu wa kilimanjaro ndio zenu.
Cc. Miss chaga
Mambo geniveros?aiseehh!aanze kukuita mamdogo..!!!
haya mkubalie baba
Kila siku ninyi wanawake mnalia kwenye mitandao sisi wanaume hatueleweki, kumbe tamaa zenu zinawaponza na kuwapeleka shimoni.Baba anapesa na ni good looking kuliko mtoto.
Mapenzi ya dhati ni pale moyo wako unapohitaji na siyo mwili wako unapopahitajiMatatizo kijana ananipenda na nitaanza vipi kumfahamisha kuwa majeshi yamegeuza mwelekeo?
Kutoka kumwita mchumba hadi mamamdogo {mama}aisee nenda na baba kijana naye atakuja kupata vibichi tu siku zikifika
Teh teh teh!Saa ingine kuweni na huruma dogo anapiga mahesabu ale mzigo wewe unapiga mahesabu umpe baba yake not fair
Saa ingine kuweni na huruma dogo anapiga mahesabu ale mzigo wewe unapiga mahesabu umpe baba yake not fair
aUmejuaje kama hana mtu hyo babake ?Baba yuko more romantic, na nyinyi mlio na watoto wa kiume msijipende sana mkajiweka kama age ya watoto wenu basi.
mwanamke na pesa uyu duuuuuubaba kama anapesa jiweke kwake loh