Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,502
- 86,050
Duh, mpwa mbona swali lina maelezo mengi hivyo? Ok, mimi ningeomba nanihiii mara ya mwisho ili tuagane kwa amani....halafu baada ya hapo lazima angesahau tu maana ningemrejesha kama enzi zile za kukutana nae mara ya mwanzo mwanzo! wataaalam wanasema hata mkeo-mumeo akikuudhi basi nendeni kiwanjani; mkirudi huko mmmmh kila mtu kachokaaaaa, hata kuoga hamtakumbuka tena