another single mother registered.
Kwa ujinga huu wanawake mliokuwa nao wacha tuendelee kuwagegeda tuu na kuwazalisha.
another single mother registered.
Mimi nadhani kwa zamani ilikua rahisi...ila siku hizi..sidhani.mke atajua tuu..labda mchepuko akiwa anapiga na kutuma sms mke anaweza fahamu..kwa sababu kwa vyovyota lazima awe anawasiliana na mchepuko kupata maendeleo ya mtoto..Mkuu sioni sababu ya kupata pressure
hayo mambo huwaga hayasemwi,,,,,mtafute mtu mliyeshibana anaweza akawa Baba,mama,mdogo wako au rafiki, mpe maelezo yanayotosheleza kuhusu mtoto na mama yake, HIYO INATOSHA
Mke wako hatakiwi ajue kabisa na wala usijenge mazingira yayeye kujua,PILI usifanye makosa ya kusema unajenga nyumba ya mtoto sasa hivi, msaidie mama na mtoto waweze endesha maisha yao bila kukutegemea wewe( utafanikiwa kama mchapuko ana akili).
Ntakupa mifano ..Mzee wangu alikuwa na watoto 02 nje, hakumwambia mtu yeyote isipokuwa rafiki yake moja TU ( na hili aliniambia alimjulisha incase likimtokea kuwe na taarifa).. Nilipomaliza chuo aliniita akanieleza na kuniomba msamaha kwa niaaba ya wadogo zangu...akaenda kunitambulisha kwa hao watoto na mama yao,,mzee alipofariki mimi niliwatambulisha watoto kwa ukoo, na mpaka leo tunaishi kwa amani, hata mali za mzee watoto wote walipata sawa hukukuwa na huyu ni mtoto wa ndoa na huwa sio.,cha kushangaza hawa adogo ukitukuta huwezi utadhani mama yetu ni moja
Wewe timiza majukumu yako, kwa mke mkubwa na mdogo, mambo ya kumwambia yatakuvunjia ndoa, huko mbeleni mambo yatajiset yenyewe
Kila la kheri
think of the impacts to the next generation.Kwa ujinga huu wanawake mliokuwa nao wacha tuendelee kuwagegeda tuu na kuwazalisha.
Sawa..
Tuanze na hili la baadhi ya watu waliokushauri, ni jinsia gani?Kiufupi tu.
Ndugu zangu huwa mnafanyaje mnapojua kimada wa pembeni kapata mimba/kajifungua na mtoto ni wako? Sitaki kuona damu yangu hii inateseka wakati uwezo wa kuihudumia ninao, tatizo huwa mnafanyaje ili mke asijue na huku mtoto akipata matunzo yote ya baba?
Hapa najua nimemkosea sana mke wangu ni mrembo na ana kila kitu, lakini sihitaji mtu anilaumu kwa hilo, ni makosa yameshatokea. Wanaume nipeni mbinu ndugu zangu nini nifanye, mimi sihitaji kutelekeza damu yangu.
Binafsi nimenunua kiwanja nataka nimjengee huyu mtoto akaishi huko na mama yake, baadhi ya watu wamenishauri nisikurupuke kwa huo uamuzi, ushauri wenu wanaume wenzangu huwa mnafanyaje kwenye hali kama hii?
Kwanza kabisa hakikisha huyo kimada anapata mume, itakusaidia kuondoa fikra za kumtunza kimada.mkuu hayo sio tatizo kabisa, ninachohitaji ni familia yangu isijue haya, nifanyeje?
mimi mkristo mkuuSikia braza hapo umekosea sana. Hata unachofikiria kinaweza kutokuwa sahihi. Hapo pigana ni vipi mkeo ajue na abaki katika ndoa.
Kwanza tujue wewe ni muislam au mkristu?.
Kama ni muislam jaribu kuongea na side chick kwamba unaandaa ndoa feki lengo ni kutaka mtoto wake atambulike katika familia yako ili asikose haki zake za msingi.
Kisha rudi kwa wife mfahamishe kusudio lako la mke wa pili, onyesha kwa vitendo kwamba umezamilia na angalia response yake. Almost hatopenda na ukiona kapanic, mtoe out na mweleze kwa nini unataka kuoa, kwamba kuna mwanamke ana mtoto na hukuwa na nia ya kuoa ila unataka kumuoa ili umtunze mwanao hivyo akupe ushauri kati ya yafuatayo:-
1. Umuoe ili umtunze akiwa mke
2. Usimuoe ila umtunze kwa kumpatia huduma akiwa mbali
3. Umlete alelewe hapo nyumbani.
Hapo target yako ni 2, na atahisi kufanya hivyo umempunguzia ushindani na hato kuwa na madhara kuliko kama utaamua kumwambia huku umenywea na kujiona mkosaji, atakusumbua na huenda ndoa yako itatikisika. The same applied hata uwe mkristu we mwambie tu utafunga ndoa za mila ili tu umpunguze nguvu kabla hujamfikishia kusudio lako.
Vinginevyo kumjengea nyumba bila haki za msingi za mtoto ni sawa na kazi bure. Utamfanya hata ikitokea msiba wako ashindwe kujitambulisha kama ni mtoto wako msibani. Pole sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
aligoma kutoa kaka na alikuwa tayari alee mwenyewe ila sio kuitoaKama ukitaka kujenga nyumba nitafute nikuchoree Ramani kijumba cha kishkaji cha vyumba viwili kisubule kidogo kajiko kadogo na parking ya gari moja tu. Ukijenga kubwa na parking kubwa utakuta midume inakuja kupaua mchepuko wako.
Halafu mruhusu huyo mchepuko aolewe yaani achana nae kimapenzi na usiwe na wivu nae deal na mtoto tu ingawa inaonekana huyo demu alikutegeshea maana haiwezekani umesubiri mpaka mtoto anazaliwa ndio unaambiwa wakati mngeweza kuiflash mimba kwa chupa moja tu ya K VANT
mzee niko kikazi mbali na familia yangu, sikutegemea kupata mtoto nje ya ndoa lakini ndio hivo sasa nawezaje kuitelekeza hii damu yangu isiyo na hatia
u made my day sisanother single mother registered.
Hapo ndipo ulipofanya kosa. Huyu amejipanga kukuvunjia ndoa yako. Utayaona baadae. Utarogwa familia itasumbuliwa na utapelekwa mpaka ustawi wa jamii. Mwanamke amekuzidi akili hapo tualigoma kutoa kaka na alikuwa tayari alee mwenyewe ila sio kuitoa
Kama mchaga lazma atamlipizia tu nayeye apate taste of his own bullshit.Ila mwambie tu mkeo atakusamehe tu japokuwa roho inauma saana
Hujawajua wanawake wewe, huna tofauti na yule aliyesema tumia ubabe asipokuelewa fukuza.Sikia braza hapo umekosea sana. Hata unachofikiria kinaweza kutokuwa sahihi. Hapo pigana ni vipi mkeo ajue na abaki katika ndoa.
Kwanza tujue wewe ni muislam au mkristu?.
Kama ni muislam jaribu kuongea na side chick kwamba unaandaa ndoa feki lengo ni kutaka mtoto wake atambulike katika familia yako ili asikose haki zake za msingi.
Kisha rudi kwa wife mfahamishe kusudio lako la mke wa pili, onyesha kwa vitendo kwamba umezamilia na angalia response yake. Almost hatopenda na ukiona kapanic, mtoe out na mweleze kwa nini unataka kuoa, kwamba kuna mwanamke ana mtoto na hukuwa na nia ya kuoa ila unataka kumuoa ili umtunze mwanao hivyo akupe ushauri kati ya yafuatayo:-
1. Umuoe ili umtunze akiwa mke
2. Usimuoe ila umtunze kwa kumpatia huduma akiwa mbali
3. Umlete alelewe hapo nyumbani.
Hapo target yako ni 2, na atahisi kufanya hivyo umempunguzia ushindani na hato kuwa na madhara kuliko kama utaamua kumwambia huku umenywea na kujiona mkosaji, atakusumbua na huenda ndoa yako itatikisika. The same applied hata uwe mkristu we mwambie tu utafunga ndoa za mila ili tu umpunguze nguvu kabla hujamfikishia kusudio lako.
Vinginevyo kumjengea nyumba bila haki za msingi za mtoto ni sawa na kazi bure. Utamfanya hata ikitokea msiba wako ashindwe kujitambulisha kama ni mtoto wako msibani. Pole sana.
Sent using Jamii Forums mobile app