- Thread starter
- #41
na kweli ndugu AhsanteMkuu kumbuka ushaharibu,,hapa tunajaribu kupunguza impact siku ya kubumbuluka!!!
na kweli ndugu AhsanteMkuu kumbuka ushaharibu,,hapa tunajaribu kupunguza impact siku ya kubumbuluka!!!
huyu kashazaa ndugu na nashukuru kwa hili angalizo lakoKujulikana itachelewa ila watajua tu,
Ushauri wangu;
Tunza huo ujauzito na mwenye ujauzito, mpaka hapo itakapojulikana, na ukitaka muda wa wewe isijulikane na uchelewe na kama una uwezo fanya kujitoa endelea kumtunza Mama na mtoto mpaka hapo mtoto atakapofikia umri wa kusoma.
Mchukue kisha kamfiche mtoto shule za boarding na Mama yake asijue ni shule gani au unaweza kumwambia Mama yake kuwa unamchukua mtoto unampeleka mkoa mwingine kwa shangazi au Bibi, wewe utakua unaenda kumsalimia, kipindi cha likizo mtoto awe anaenda kwa Mama yake.
Zingatia kuwa kwa kipindi hiki kuwa karibu na huyo mjamzito ila sio kwenye simu, jitahidi simu yako iwe free kwa wife, kwa sasa na hata akijifungua usithubutu kumkaza papuchi maana utakuwa unaelekea kujimilikisha mke wa pili.
Sent using Jamii Forums mobile app
hii ngumu kumezaUnamjengea huyo mtoto na mama yake nyumba sawa. Wewe ukiwa umelala na mke wako unategemea ni nani amtulize genye mama mtoto?
Ukisikia kuna kidume kinapumzika hapo kwenye nyumba uliyojenga usishikwe na hasiratafadhali.
Ukienda kumsalimia mtoto hutapasha kiporo kwa mama? Matokeo yake huyo mtoto atapata wadogo zake. Mke wapili huyo unae.
Mchuma janga hula na nduguze....ulivyokuwa unafanya haukujua kama unatenda kosa na dhambi hivi inakuwaje na mnapata ujasiri gani mpaka unazaa nje ya ndoa mimi ni mwanaume ila hiyo dhambi ya kuzaa nje ya mahusiano rasmi siwezi kamwenahisi nikiwaambia wife atajua mapema, italeta shida kwenye familia... nimemkosea sana wife lakini sitaki wabaya wapate sehemu ya kuchochea moto, nataka liende kimyakimya kwanza
ndugu yangu ni dhambi kweli hata mimi sikupanga na kwa sababu imeshatokea siwezi kutelekeza hiki kiumbeMchuma janga hula na nduguze....ulivyokuwa unafanya haukujua kama unatenda kosa na dhambi hivi inakuwaje na mnapata ujasiri gani mpaka unazaa nje ya ndoa mimi ni mwanaume ila hiyo dhambi ya kuzaa nje ya mahusiano rasmi siwezi kamwe
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtoto unahakika ni wako? Kampime DNA halafu ukiwa na uhakika mjengee na wekeza katika maisha yake mfungulie Acc na mnunulie hisa maeneo mbalimbalindugu yangu ni dhambi kweli hata mimi sikupanga na kwa sababu imeshatokea siwezi kutelekeza hiki kiumbe
Ni bora ukamwambia mkeo mapema kuliko ukaficha akajua kupitia watu wengine. some women are FBI na akijua mwenyewe moto utawaka. Sema wanaume mnazingua sana yani kondomu hadi za jero zipo
Mchuma janga hula na nduguze....ulivyokuwa unafanya haukujua kama unatenda kosa na dhambi hivi inakuwaje na mnapata ujasiri gani mpaka unazaa nje ya ndoa mimi ni mwanaume ila hiyo dhambi ya kuzaa nje ya mahusiano rasmi siwezi kamwe
Sent using Jamii Forums mobile app